Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ni uchafu gani aise muna safari ndefu sana alaf unapost bila aibu kabisa
anakuambia kuwa hiyo ndiyo kariakoo yao,,, yaani wanazo kariakoo nyingi. ...

kuna mijitu yakikenya si bure imepewa laana na babu zao leo nimejikuta nikicheka peke yangu mbele ya watu mpaka wameniuliza kulikoni.. nikawaambia kuwa wakenya ni vichaaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilizoom upana wa eneo wala sio distance ya Kilimani kwenda Cbd, sababu border ya hizo area mbili ni park na hakuna majengo....halafu hilo eneo la Dar umeonyesha in km ndio developed.Ukitaka kujua point yangu pima eneo lote la Kilimani in km na upime eneo lote la Posta,kariokoo na upanga in km combined ndio unipe jibu
Screenshot_2020-03-08-18-35-50.jpeg
Screenshot_2020-03-08-18-43-52.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar=3*Nairobi in size!

Mkoa wa Dar es Salaam wenye eneo na km za mraba 1,800 ulianzishwa kutoka Mkoa wa Pwani mwaka 1973 ukiwa na Wilaya 3 za Ilala, Kinondoni na Temeke. Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Dar es Salaam zilizopo sasa zilianzishwa mwaka 2000 baada ya kuvunjwa kwa Tume ya Jiji iliyokuwepo kufuatia kuvunjwa kwa Serikali za Mitaa mwaka 1996 kulikoendelea hadi mwishoni mwa mwaka 1999.

Historia | Mkoa wa Dar es Salaam

Nairobi is 696 sq. km

2019 Kenya Population and Housing Census Volume I: Population by County and Sub-County - Kenya National Bureau of Statistics
Aisee ka nairobi ni kadogo hv yn zile cages za kigamboni zikikaa nairobi zinaijaza nairobi nzima
 
Nilizoom upana wa eneo wala sio distance ya Kilimani kwenda Cbd, sababu border ya hizo area mbili ni park na hakuna majengo....halafu hilo eneo la Dar umeonyesha in km ndio developed.Ukitaka kujua point yangu pima eneo lote la Kilimani in km na upime eneo lote la Posta,kariokoo na upanga in km combined ndio unipe jibuView attachment 1410977View attachment 1410978

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo zooming rate wala sio issue kwasababu kwa rate hiyo ya zooming umeweza ku cover almost kilomita 5 ndani ya CBD moja kwa Dar

CBD ya Dar kwenye picha hapo inaundwa na kata nyingi mfano Upanga (East + West), Kariakoo, Kisutu, Gerezani, Posta, Mnazi Mmoja mpaka Bandarini kunaonekana

Hizo sehem ndizo zinaunda CBD hapo na ndo palipojengeka kwa majengo ya ofisi na biashara. Huwezi ukalinganisha na hiyo Kilimani ambayo ni sehem moja zenye hadhi kama sehem tajwa hapo juu za Dar

Ilala Downtown ni 273 Sq.Km ambapo ndo kuna hizo kata hapo juu, haya leta area size ya Kilimani meanwhile NBO yote ni 600+ Sq.Km af Ilala Downtown 273 SqKm
asa sijajua ulitaka kumaanisha nin mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar=3*Nairobi in size!

Mkoa wa Dar es Salaam wenye eneo na km za mraba 1,800 ulianzishwa kutoka Mkoa wa Pwani mwaka 1973 ukiwa na Wilaya 3 za Ilala, Kinondoni na Temeke. Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Dar es Salaam zilizopo sasa zilianzishwa mwaka 2000 baada ya kuvunjwa kwa Tume ya Jiji iliyokuwepo kufuatia kuvunjwa kwa Serikali za Mitaa mwaka 1996 kulikoendelea hadi mwishoni mwa mwaka 1999.

Historia | Mkoa wa Dar es Salaam

Nairobi is 696 sq. km

2019 Kenya Population and Housing Census Volume I: Population by County and Sub-County - Kenya National Bureau of Statistics
Dar imejaa vijiji wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom