Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama kawaida ndoto za kichaa😂😂😂 kweli safari hii mumekutana na fundi anaejua siasa namaendeleo yani mpak munatia huruma 😃😃😃

mumebakia kurusha ngumi za hewani
Tz bado sana,hamtuwezi kwa ports capacity
 
Tz bado sana,hamtuwezi kwa ports capacity
Wakat dar imeanza kuwapumulia kichogoni 😂😂😂 huku wateja wakikimbia mombasa na kuja dar nakwambia magu ni fundi wa siasa na maendeleo kawabana mpaka hamuna hamu
 
Wakat dar imeanza kuwapumulia kichogoni 😂😂😂 huku wateja wakikimbia mombasa na kuja dar nakwambia magu ni fundi wa siasa na maendeleo kawabana mpaka hamuna hamu
Haha bas leta new capacity this year we do comparison,pia Mombasa inapanuliwa kaka,it seems hauna copy haha
 
Naona zimeingia vyema sasa💉💉💉 nilitegemea hilo
Kweli bro naona zimekuingia vyema Tena tatu.
Kama kawaida ndoto za kichaa😂😂😂 kweli safari hii mumekutana na fundi anaejua siasa namaendeleo yani mpak munatia huruma 😃😃😃

mumebakia kurusha ngumi za hewani
Mpo huko chini karibu na miguu ngumi haziwezi kawapata, Yani tunatafuta wa kupambana naye tunamkosa, Ethiopia kidogo anajaribu na ukumbuke Ethiopia namba mbili ukanda huu...waliwapiku na kuwatupa namba 3 wakati ile yetu ya 1 tumeishikilia Hadi Yesu atakaporudi.
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
7F0722B4-3533-4C93-9AF9-0990D5B77B97.jpeg
D162021C-1481-44AF-AD96-C168045217C8.jpeg
 
Kweli bro naona zimekuingia vyema Tena tatu.

Mpo huko chini karibu na miguu ngumi haziwezi kawapata, Yani tunatafuta wa kupambana naye tunamkosa, Ethiopia kidogo anajaribu na ukumbuke Ethiopia namba mbili ukanda huu...waliwapiku na kuwatupa namba 3 wakati ile yetu ya 1 tumeishikilia Hadi Yesu atakaporudi.
Mumeshikilia no 1 ya poverty na GDP inayonuka ushuzi wa madeni 😂😂😂

juzi naskia mumeanza kumtukana magufuli kwann haungani na nyie juu ya kufunga mipaka kwaajili ya corona😁😁

hata pesa ya kuhudumia locusts hamuna munasubiri wahisani watoe sadaka alaf munakuja hapa sisi GDP 😂😂 mavi ya kunguni
 


mda nyuma kidogo ilikuwa hiv
1 Kenyan shilling = 24 Tanzanian shillings

sasaiz
View attachment 1407794

ntajipa kazi ya kufatilia hii kitu baada ya mwezi mmoja au miwili hiv
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] natumai two months to come itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

1ksh = 20 Tshs

Whilst two years later will be like[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

1ksh = 10 Tshs

And, Five years after today, the game will be [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

1ksh = 1.5 Tshs

Na km wasipoamka mapema 10 years after today ngoma itakuwa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

1Tsh = 2 kshs

Km mnabisha nyie subirini muone maana hyo exportation tutafanya ktk kipindi cha hii miaka 10 ijayo, hakuna nchi ya EA itatugusa, hvyo nategemea dafu kupanda zaidi kulinganisha na pesa za nchi jirani.
 
Mumeshikilia no 1 ya poverty na GDP inayonuka ushuzi wa madeni [emoji23][emoji23][emoji23]

juzi naskia mumeanza kumtukana magufuli kwann haungani na nyie juu ya kufunga mipaka kwaajili ya corona[emoji16][emoji16]

hata pesa ya kuhudumia locusts hamuna munasubiri wahisani watoe sadaka alaf munakuja hapa sisi GDP [emoji23][emoji23] mavi ya kunguni
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom