ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Usinilaumu mm laumu jubilee 😃😃😃
Usinilaumu mm laumu jubilee 😃😃😃
Wah!!Anataka iandikwe ICU ndio aelewe. Si unajua kizungu kizungumkuti? [emoji23] [emoji23]
Ahahahaha mamaee munafanya watu wapuuzi humu ndani kazi mulioifanya nyinyi kutandika vitanda kwa ajili ya wagonjwa wa corona na sio ICU labda hujui maana ya ICU😂😂😂Anataka iandikwe ICU ndio aelewe. Si unajua kizungu kizungumkuti? 😂 😂
Burundi pia wana mikakati mizuri sana hata kuliko marekani na china..
Hyo nadhani wameshau kuchapisha[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali hata ungeelewa kilicho andikwa kwa hii tweet.
Hio link nimeisoma kabla hajaileta humu ndani najua huwez amini😂😂😂😂Wah!!
Jamaa bila shaka hta link hakufungua[emoji3][emoji3]
Kasema eti ni vitanda tu vya wagonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani leo tumewabana kinoma, kila wakijaribu kutoka kwenye mada tunawarudishakawaida sana ya vijana wa sisiemu
Unaelekea humo.Elewa hii comment kwanza[emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeelewa sasa unajaribu kuzuga ndipo ukirudi kikaoni uonekane mzalendoAhahahaha mamaee munafanya watu wapuuzi humu ndani kazi mulioifanya nyinyi kutandika vitanda kwa ajili ya wagonjwa wa corona na sio ICU labda hujui maana ya ICU[emoji23][emoji23][emoji23]
Umembana nani unachanganyikiwa kutandika beds na ICU hahaha hujui maana ya ICU wewe unafkiri mchezo😃😃😃😃Yani leo tumewabana kinoma, kila wakijaribu kutoka kwenye mada tunawarudisha
Sent using Jamii Forums mobile app
518 beds and not ICU 😂😂😂 hvi ww unajua maana ya ICU maana yake unaijua
mulichokifanya nyinyi kutandika vitanda ndani ya wodi kwa ajili ya wagonjwa wa corona and not ICU😃😃😃
ICU ni nini Dr Ichoboy? 😂 labda utuelimishe kidogo leo518 beds and not ICU 😂😂😂 hvi ww unajua maana ya ICU maana yake unaijua
mulichokifanya nyinyi kutandika vitanda ndani ya wodi kwa ajili ya wagonjwa wa corona and not ICU😃😃😃
Kwnn nisiamini wakati humo ndani kumeandikwa serikali wametandika vitanda 500 vya wagonjwa..uko right[emoji3][emoji3]Hio link nimeisoma kabla hajaileta humu ndani najua huwez amini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uhehehe nimecheka sana yani munatandika beds za waginjwa wa corona munaita ICU 😂😂😂😂😂 yani mumeshinda hata south africa kwa ICU 😃😃😃😃Naona umeelewa sasa unajaribu kuzuga ndipo ukirudi kikaoni uonekane mzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Worry out Dr BRT😂😂👇👇👇ICU ni nini Dr Ichoboy? 😂 labda utuelimishe kidogo leo
wacha nimsaidie kidogo, vitanda vya ICU ni kwa ajili ya wagonjwa wa ICU halafu hvyo critical care beds ni kw ajili ya wale wagonjwa amabao wako in critical condition[emoji3][emoji3][emoji3]ICU ni nini Dr Ichoboy? [emoji23] labda utuelimishe kidogo leo
Sio mzalendo pekee. Aonekane kwamba hata yeye ana "uelewa" wa mamboNaona umeelewa sasa unajaribu kuzuga ndipo ukirudi kikaoni uonekane mzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa huchomoki, hata ukirukaruka vipiUhehehe nimecheka sana yani munatandika beds za waginjwa wa corona munaita ICU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani mumeshinda hata south africa kwa ICU [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ndio imetandika vitanda kwenye wodi and not ICU mzee 😃😃😃😃Kwnn nisiamini wakati humo ndani kumeandikwa serikali wametandika vitanda 500 vya wagonjwa..uko right[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani leo mumeingia kwenye 18 nilizokua nazizubiri 😃😃😃😃 kwamba kutandika vitanda ni ICU mamaee ndio jubilee imewafkisha hapo
The later is called HDU (High Dependency Unit). Wako nazo nane tu in the entire country. Kweli hawa watu wametushindawacha nimsaidie kidogo, vitanda vya ICU ni kwa ajili ya wagonjwa wa ICU halafu hvyo critical care beds ni kw ajili ya wale wagonjwa amabao wako in critical condition[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
KO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio mzalendo pekee. Aonekane kwamba hata yeye ana "uelewa" wa mambo