Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukijadili navyo hivi huaga hawapendi, raha yao hutaka muruke ruke tu na kule ndipo wachanganye mada..

Huoni sai wametulia[emoji1787][emoji1787]
Ngoja atatumwa mmoja aje kuvuruga si kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unaelewa hawa watu vizuri sana. Saa hii wanaweza badilisha mada KWS njia yoyote ile
 
Wazee wa millionares siku hzi siskii tena AVIC ikitajwa humu 😂😂😂😂😂 siskii tena BRT ikitajwa
 
Corona ni jambo moja na locusts ni jambo jingine kabisa😂😂😂😂😂

corona imeleta magonjwa locust wameleta umaskini

👆👆👆👆👆👆👆ulipo tupo
 
Mwengine wamesambaza vitanda wodini anaita ICU mamaee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini, yani hta maana ya critical care beds hujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au hukusoma umekurupuka jomba[emoji51][emoji51][emoji51][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
20200331_232936.jpeg
20200331_232911.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini, yani hta maana ya critical care beds hujui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au hukusoma umekurupuka jomba[emoji51][emoji51][emoji51][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1405390View attachment 1405391

Sent using Jamii Forums mobile app
518 beds and not ICU 😂😂😂 hvi ww unajua maana ya ICU maana yake unaijua

mulichokifanya nyinyi kutandika vitanda ndani ya wodi kwa ajili ya wagonjwa wa corona and not ICU😃😃😃
 
Back
Top Bottom