Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
naona bongo kumempenda kanawili...safiSijawahi kufikiria kama maji yanaweza kutolewa kama msaada,
Kwa mara ya kwanza naona maji ya bowser yakitolewa kama msaada
Hii inaonesha jinsi gani Kenya ina biggest water crisis
Sent using Jamii Forums mobile app






jinsi inavyozungukwa na uchafu halafu wanakuja kujadili humu et Nairobi iko planned than Dar