Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Not in reality in terms of what?
1.Paved Roads: Kenya 20,000km, Tanzania 8,000km.

2.Healthcare ranking in Africa: Kenya 3rd Tanzania sijui penye inapatikana.

3.Quality of Roads in Africa: Kenya 7th, Tanzania nowhere to be seen.

4.Best Education system in Africa: Kenya 7th, Tanzania 42nd.

5. Installed Electricity and connectivity: Kenya 2800MV, 75%. Tanzania 1600MW, 32%.



Sent using Jamii Forums mobile app
Quality roads umedunda mzee umepewa updated information umeanza kuhara ovyo😂😂😂 education gan mlionayo yakujenga magorofa yakuanguka ovyo alaf anasmama engineer anakwambia imeangushwa na upepo😂😂😂😂

health care hua munakuja kufanya nn tanzania mamaeee hakuna huduma ya afya mbovu kama kenya am telling u😂😂😂

paved roads unataka kushindana na tanzania 😂😂😂
 

Jamaa wanalipia umeme hao na gesi juu, mwhyo mtanzania wa kawaida maisha hayo hayawezi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Weweee... uswazi wanatumia gesi na tena kuna wenine wanatumia hadi plate mbili. Pita manzese, tandale na kwenginepo uone vimtungi vya gesi kila kona na wanatumia hadi kwenye migahawa na mabanda ya chipsi
 
Quality roads umedunda mzee umepewa updated information umeanza kuhara ovyo education gan mlionayo yakujenga magorofa yakuanguka ovyo alaf anasmama engineer anakwambia imeangushwa na upepo

health care hua munakuja kufanya nn tanzania mamaeee hakuna huduma ya afya mbovu kama kenya am telling u
Ask Tundu Lisu which country has better healthcare system atajujibu.
Ask Rose Muhando she knows which country has better healthcare system.
Ask World Heath Organization, watakuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuja
Naona umeshindwa na mada

Nimezaliwa mjini, nikasomea mjini, nikapata kazi mjini..
Dingi ndio kafanikiwa kufanya investiments kote kote(mjini na kijijini), miaka yote hyo kila likizo lazima atupeleke kwetu na kilugha tunakijua..

So usilinganishe maisha ya wakenya na watanzia...
Dingi sai hata anamahisabu ya kurudi home akapumzike kitu km after five to ten years Mungu akimuweka hai na mzima..



Sent using Jamii Forums mobile app
we wakuja tu mruga ruga huna lolote



ndiyo inawezekana kuwa ulizaliwa town ya kijiji maana ndipo angalau kuna ile dispensary moja ya kata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ask Tundu Lisu which country has better healthcare system atajujibu.
Ask Rose Muhando she knows which country has better healthcare system.
Ask World Heath Organization, watakuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mpuuzi mm sijapata ona ingekua mudavadi kapigwa risasi kenya angetibiwa hapo 😀😀 na kwann alipelekwa europe hujiulizi maswali😁😁😁😁😁
 
Ask Tundu Lisu which country has better healthcare system atajujibu.
Ask Rose Muhando she knows which country has better healthcare system.
Ask World Heath Organization, watakuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu niletee official source ya WHO wakisema kenya ina better health care ukipata tag me nigunge account jamii forum😂😂😂😂
 
We ni mpuuzi mm sijapata ona ingekua mudavadi kapigwa risasi kenya angetibiwa hapo 😀😀 na kwann alipelekwa europe hujiulizi maswali😁😁😁😁😁
County nzima ya Taita Taveta huvuka boda kutafuta huduma bora za afya Tanzania.
 
Not in reality in terms of what?
1.Paved Roads: Kenya 20,000km, Tanzania 8,000km.

2.Healthcare ranking in Africa: Kenya 3rd Tanzania sijui penye inapatikana.

3.Quality of Roads in Africa: Kenya 7th, Tanzania nowhere to be seen.

4.Best Education system in Africa: Kenya 7th, Tanzania 42nd.

5. Installed Electricity and connectivity: Kenya 2800MV, 75%. Tanzania 1600MW, 32%.



Sent using Jamii Forums mobile app
Paved road kenya 18000km
Tanzania 14000km ujinga unaupenda sana nakuona...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom