komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Anatumia kichwa kama garden ya kuoteshea maua 😂😂😂Dozi anaipata kweli kweli. Yaani ukishaanza kumuona mtu anapata hasira hivyo uje dawa inafanya kazi
Dream house siohuyo jamaa ni wakuja aliivamia nairobi achana na mruga ruga huyo,,,,,
hajui kama watu wanajenga mjini pia wanajenga kwao
Sent using Jamii Forums mobile app


Usijifanye umekuwa chizi just because we have identified a certain slum in Dar. Here it is.Kuna sehemu inaitwa harbor slumleo umechanganyikiwa hahahahha
So hua munasifu GDP yenye ushuzi wa kazi ganisi bora mutatue matatizo yenu kwanza yanakula nyama zenu
Hio ni official blog???😂😂😂 Je mzungu anaijua hiii😂😂😂😂 nimecheka sana bado munatafuta slum tuUsijifanye umekuwa chizi just because we have identified a certain slum in Dar. Here it is. View attachment 1398106
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaishi Dar ebu nenda ukatupigie picha za harbor slum ulete huku.Ninaishi Dar es salaam. Nikuulize wewe unayeijua Dar kwenye internet
Yani hua inanicheksha kuskia ushuzi wa GDP 😂😂😂😂 twice in numbers and not realitySijaijua GDP ya Kenya inakunyima usingizi hivi. We are in 2020 and our GDP is twice yours.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utuelekeze ww iko wapi 😂😂😂😂 aisee kisa munatafuta slum darKama unaishi Dar ebu nenda ukatupigie picha za harbor slum ulete huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni official blog???Je mzungu anaijua hiii
nimecheka sana bado munatafuta slum tu
Uniletee kwenye google earth sehemu dar inaitea harbor slum ukipata mm nafunga account jamii forum very simple😂😂😂Utalia hadi kesho. Everybody knows that there is a place called Harbor Slum which is located along the coast line of your fishing village.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha inamaana google earth haitambui😂😂😂😂👇👇👇👇👇Utalia hadi kesho. Everybody knows that there is a place called Harbor Slum which is located along the coast line of your fishing village.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakujakumbe we wakuja,, ngoja nikuache mruga ruga wakikenya,,,kumbe jiji lenyewe umelivamia....kwenu ni huko njorogo vijijini ndani ndani
ndiyo maana ushamba mwingi
Sent using Jamii Forums mobile app








Hata map pia imekataa😂😂😂😂👇👇👇Utalia hadi kesho. Everybody knows that there is a place called Harbor Slum which is located along the coast line of your fishing village.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaaaaa!!umeumia kuwaona wanatumia umeme pamoja na gesiFala kweli wewemtanzania wa hali y chini anakula milo mitatu kwa siku na wa kibera anakula milo mingap????
Yani hua inanicheksha kuskia ushuzi wa GDPtwice in numbers and not reality
Nipo Harbor Slum.Utuelekeze ww iko wapiaisee kisa munatafuta slum dar
Is this official blog ikiwa google earth haijui wala map haijui na kwanza ndio naskia leo😂😂😂😂😂😂 munahangaika kurafuta slum in dar mamaee mukipata slum munitag ili nijue mzungu hana akiliWhat did you expect to get ukitumia simu bonoko?. View attachment 1398147
Sent using Jamii Forums mobile app
google earth and map 😂😂😂👇👇What did you expect to get ukitumia simu bonoko?. View attachment 1398147
Sent using Jamii Forums mobile app