Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna sehemu inaitwa harbor slum leo umechanganyikiwa hahahahha
Usijifanye umekuwa chizi just because we have identified a certain slum in Dar. Here it is.
IMG_20200324_162758_227.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbe we wakuja,, ngoja nikuache mruga ruga wakikenya,,,kumbe jiji lenyewe umelivamia....kwenu ni huko njorogo vijijini ndani ndani

ndiyo maana ushamba mwingi


Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuja
Naona umeshindwa na mada

Nimezaliwa mjini, nikasomea mjini, nikapata kazi mjini..
Dingi ndio kafanikiwa kufanya investiments kote kote(mjini na kijijini), miaka yote hyo kila likizo lazima atupeleke kwetu na kilugha tunakijua..

So usilinganishe maisha ya wakenya na watanzia...
Dingi sai hata anamahisabu ya kurudi home akapumzike kitu km after five to ten years Mungu akimuweka hai na mzima..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not in reality in terms of what?
1.Paved Roads: Kenya 20,000km, Tanzania 8,000km.

2.Healthcare ranking in Africa: Kenya 3rd Tanzania sijui penye inapatikana.

3.Quality of Roads in Africa: Kenya 7th, Tanzania nowhere to be seen.

4.Best Education system in Africa: Kenya 7th, Tanzania 42nd.

5. Installed Electricity and connectivity: Kenya 2800MV, 75%. Tanzania 1600MW, 32%.

Yani hua inanicheksha kuskia ushuzi wa GDP twice in numbers and not reality

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom