Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwakweli niwe muwazi, Dar kuna sehemu nyng hazipo planned na mm huwa najiuliza mipango miji kazi yao ilikuwa nn, ila haijafika huko yn hapa Dar hakuna sehem km hyo na ukiprove hapa kwmb hyo ni Dar ctakuwa na cha kufanya zaidi ya kufunga account JF

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ujue hapo ni dar, kwn hukioni kibanda cha brt

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejenga nyumba nzuri sana kijiji kwetu. Ten times better than the dream house you own in Dar with pride. Secondly, the house I rent in Nairobi is a million times expensive than your uswazi hovel that you own
Ndo ile umejipiga na ww mwnyw af ukapost humu kwa bahati mby unapata faida gn kuongopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walahi wakenya ni wanafki sn utasikia wakisema hakuna nguzo za magogo kenya, hapo naona nguzo za umeme za sementi mnapata faida gn kuongopa mbuzi nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya basi funga account. Look at the top right side of the pictures, utaona BRT stands.
Kwakweli niwe muwazi, Dar kuna sehemu nyng hazipo planned na mm huwa najiuliza mipango miji kazi yao ilikuwa nn, ila haijafika huko yn hapa Dar hakuna sehem km hyo na ukiprove hapa kwmb hyo ni Dar ctakuwa na cha kufanya zaidi ya kufunga account JF

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu anatoka kwao kushangaa maajabu ya dunia alaf akae asione slum dar aone nairobi
View attachment 1397831View attachment 1397832View attachment 1397833View attachment 1397834
Mhh aisee wakenya km hamtamaliza uchafu ulio kwny slum huko Nairobi, hamuezi kuwa na The best City in Africa hata mfanyeje, cc mda c mref tutafika huko mana tatizo letu cc ni ujengaji kiholela lkn kwa ss naona mipango miji kdg wameamka so we are moving on.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
S
Kwakweli niwe muwazi, Dar kuna sehemu nyng hazipo planned na mm huwa najiuliza mipango miji kazi yao ilikuwa nn, ila haijafika huko yn hapa Dar hakuna sehem km hyo na ukiprove hapa kwmb hyo ni Dar ctakuwa na cha kufanya zaidi ya kufunga account JF

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona ee!! na hizo sehemu shida ni planning tu ndio ilipita kushoto, lakini makazi mengi ni quality ya kulizisha
 
Turudi kwenye slum kwanza ww na mzungu nani anaakili unaakiki kuniliko wapi munajenga BRT hebu tuoneshe ili nione kweli unaakili huna chochote mjinga wewe eti mm naishi sehemu huwezi afford unataka kua kama yulr mwehu wenu collo mzii anamiliki techno anadanganya anamiliki iphone 7 mbona alikimbia humu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposti mapicha za kibera,unachanganya sijui mapicha za wapi huko plate number sijui za nchi gani,mapicha zenyewe za miaka mingi nyuma.. unaposti mapicha zinazungumzia cholera mkoani rukwa,wakati Tanzania now cholera ni history..hatuna hizo case..updates yourself girl

Woooh
 
Unaumia kuskia watu wanajenga vijijini, kwn unataka watu wajenge uswazi mjini...

Jenga mjengo wa hadhi kwenu, halafu uongezee na rentals juu upige hela hku wewe ukibagi kupiga kazi mjini...siku una staafu hta ukirudi kupumzika unatulia katika mjengo bila stree hku ukila kodi..

Hata wanao wakikusahau utakua umeshajipanga na kashamba kiasi tu ka kujikip busy ukilimalima

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mnakosea sana hapo,Mimi nikijenga mjengo wangu kwetu lengo ni kwenda kupumzika tu nikiwa likizo...siwez staafu kazi nikarudi kijijini ambapo sijawah kuishi kwa zaidi ya siku 30 kwa mwaka...mjini nmeset business,mirija kadhaa y kuingiza kipato, hata nikistaafu sichomoki town budda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom