Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wamesha ishiwa pumzi tayari kwenye huu uzi, ndiyo kwanza tupo robo ya mwaka tu walikuwa wanatucheka na kuboresha safari za ndani za ndege kwanza sasa korona inaua kq rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mnacoment with a lot of emotions. Corona is a global affair but to you and your ilk, Kenya is the only country grappling with the problem. Story za KQ sasa zinaingilia wapi na mambo ya corona? It has affected all major global airlines but kwa akili yako ndogo, you can't think beyond KQ.
 
52C27133-86AF-417B-BD47-AC50FEC129A9.jpeg
 
Kuna chi moja hapa inaovertake wengine kwa kasi kwelikweli ilhali barabara nyingi now zipo under construction & nyingine ndo zimetengewa budget:
View attachment 1388931
View attachment 1388932
View attachment 1388933
Hints: *Kuna wengine watajigamba kwa kuwa mbele alphabetically
Hii inatia moyo sana wakuu wa hili jamvi. ..Majirani upande wa barabara walitutangulia lakini kwa sasa tunaenda nao sawa. ..haikua rahisi kufika apo...tunaweza kufanya vizuri zaidi ya hapo...

Labda nirudie,nasemaje....tunaweza kua number 1,Yes tunaweza!!Big up GoT kwa kuamua kujenga barabara bora na sio bora barabara nchi nzima! !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom