ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,064
- 3,216
Hub ya corona East and central Africa 😁😁Nimeona huko KoT wanajisifia kuwa nchi ya kwanza EA kupata mgonjwa wa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hub ya corona East and central Africa 😁😁Nimeona huko KoT wanajisifia kuwa nchi ya kwanza EA kupata mgonjwa wa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
They have been ranked by Lancet Journal as the worst African country in handling Corona virus 2019, behind Ghana, TZ etc...Hub ya corona East and central Africa 😁😁
ujinga utamaliza kichwa yako, streetlights huku Tanzania zpo mpk uswazi huko kiwalani, machimbo, mwisho wa lami, n.k ndo zitakosa hapo, tena nikwambie tu hio mitaa nliyokutajia ina mikeka mikali yn mpk barazani kwny nyumba, Nairobi haifikii hata kdg yn cku nkipata nafac ntakupigia picha uone, nguvu ya dmdpWekeni barabara streetlights mji wenu mkuu uache kupitwa na vijiji vya Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya wamesha ishiwa pumzi tayari kwenye huu uzi, ndiyo kwanza tupo robo ya mwaka tu walikuwa wanatucheka na kuboresha safari za ndani za ndege kwanza sasa korona inaua kq rasmi
Itafika tu Tz,msijione specialHub ya corona East and central Africa 😁😁
Mbaya zaidi Uhuru alikuwa kimbelembele kuinyooshea kidole Ethiopia kuhusu hili janga akasahau kwake pia hatari ipo! Poleni sana though! Sasa sijui mgonjwa alitokea Ethiopia?Itafika tu Tz,msijione special