Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila mkuu naona Kama Mhandisi Mfugale kamtibua mzee mana kuna mda mheshimiwa akawa km amsikilizi fulani, unajua mkuu huwa hapendi uwe na confidence mbele yake ss cjui imekaaje apo.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani yeye Mungu? Uongozi ni dhamana leo Rais miaka mitano mwananchi wa kawaida! Inabidi awe na staha! Kwa ufupi Sipendi tabia yake ya mihemko na matusi anadharaulisha taasisi ile au ile tabia ya kufedhehesha wasaidizi wake kwa ku-instigate wananchi kuwachongea viongozi hadharani! Yeye mbona haruhusu kukosolewa hadharani? Iko siku watu wata-tender resignation wamwachie kila kitu!
 
kwani yeye Mungu? Uongozi ni dhamana leo Rais miaka mitano mwananchi wa kawaida! Inabidi awe na staha! Kwa ufupi Sipendi tabia yake ya mihemko na matusi anadharaulisha taasisi ile au ile tabia ya kufedhehesha wasaidizi wake kwa ku-instigate wananchi kuwachongea viongozi hadharani! Yeye mbona haruhusu kukosolewa hadharani? Iko siku watu wata-tender resignation wamwachie kila kitu!
Hyo ndyo weakness ya mkuu wetu, hawa wateuliwa wake wanapaswa kujua hilo na kuendana nayo hakuna namna kila kizuri kina weakness yke mkuu hakuna aliyekamilika, japo na mm tabia hyo huwa inanikwaza lkn lazima nkubali kwmb ndyo weakness yke hyo na hatuwez kuibadili kivyovyote vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo ndyo weakness ya mkuu wetu, hawa wateuliwa wake wanapaswa kujua hilo na kuendana nayo hakuna namna kila kizuri kina weakness yke mkuu hakuna aliyekamilika, japo na mm tabia hyo huwa inanikwaza lkn lazima nkubali kwmb ndyo weakness yke hyo na hatuwez kuibadili kivyovyote vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
ana wa-dress down wasaidizi wake kama watoto hebu imagine kawaita wajinga na wapumbavu sasa ana tofauti gani na Trump? mob justice si way forward!
 
ana wa-dress down wasaidizi wake kama watoto hebu imagine kawaita wajinga na wapumbavu sasa ana tofauti gani na Trump?
Magufuli ana kiburi cha hovyo sana, japo anafanya kazi nzuri lakini hapaswi Kupewa muda wa zaidi ya miaka 10 ya kawaida, akimaliza muda wake aende kupumzika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro tafadhali sana, usipende kuweka viambatanishi (plate number) vinavyoweza kuonesha identity yako mitandaoni. Watu wenye nia mbaya nawe wanaweza kuanzia hapo, kuja kukuumiza. Geza Ulole hapo juu amejaribu kukutonya kiaina.
Hawa jamaa si wakuamini at all! Imagine wako radhi mpaka kubadili news na kuitaja Tanzania kama drugs gateway kisa US report imewataja! Wengi humu ndani hata milo miwili kazi sasa imagine waone unaishi good time!
 
Bro tafadhali sana, usipende kuweka viambatanishi (plate number) vinavyoweza kuonesha identity yako mitandaoni. Watu wenye nia mbaya nawe wanaweza kuanzia hapo, kuja kukuumiza. Geza Ulole hapo juu amejaribu kukutonya kiaina.
Hata alivyokua Kenya aliweka picha ya gari na site mirror ilikua inaonesha namba ya gari mbaya zaidi ni za Tanzania

kitochi
 
kwani yeye Mungu? Uongozi ni dhamana leo Rais miaka mitano mwananchi wa kawaida! Inabidi awe na staha! Kwa ufupi Sipendi tabia yake ya mihemko na matusi anadharaulisha taasisi ile au ile tabia ya kufedhehesha wasaidizi wake kwa ku-instigate wananchi kuwachongea viongozi hadharani! Yeye mbona haruhusu kukosolewa hadharani? Iko siku watu wata-tender resignation wamwachie kila kitu!

Lakini bro hata ningekuwa mimi pale ningewazingua unajua nini? Tangu March 3 daraja hakuna linasuasua wenzetu wachina hospitali imejengwa siku kumi tu sasa kidaraja kile wiki tatu mnashughulikia tu jamani hebu mda mwingine tuwe serious, Binafsi nadhani raisi yuko sahihi ukifanya mambo mengi ukakosa kudeal na jambo muhimu moja basi hufai ni sawa na serikali ikizembea kwenye jambo kama hili la Corona basi haifai kabisa so mkuu yuko sahihi. Jana nliona nadhani ni Tv ya Rwanda walikuwa wanazungumzia kuhusu daraja hilohilo asa ukiwa na akili fupi utadhani mzee kazingua la hasha kaongea ukweli daraja kama lile now lilipaswa liwe limeisha, usha imagine kama mvua kubwa ikaja ghafla now?


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Magufuli ana kiburi cha hovyo sana, japo anafanya kazi nzuri lakini hapaswi Kupewa muda wa zaidi ya miaka 10 ya kawaida, akimaliza muda wake aende kupumzika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi ukiongea hivo ni lini tutajifunza kujenga vitu muhimu kwa haraka? Maana tangu March tatu daraja bado? Leo nilikaa na mmoja ni mpinzani kweli lkn hata hili amekubali kwamba hela zipo mainjinia wapo daraja bado huu ni uzembe hata kama Mh kamwl na Mfgl ni ndugu zetu kwa hili wame bugi tujifunze kusolve vitu kwa ufanisi na haraka, ukiwa na urafiki sana kwenye kazi ni ujingaaa, kazi kwanza sifa baadae. Ungekuwa wewe raisi wa China mpk leo ungekuwa inafanya upembuzi yakinifu wa Corona hospital


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Lakini bro hata ningekuwa mimi pale ningewazingua unajua nini? Tangu March 3 daraja hakuna linasuasua wenzetu wachina hospitali imejengwa siku kumi tu sasa kidaraja kile wiki tatu mnashughulikia tu jamani hebu mda mwingine tuwe serious, Binafsi nadhani raisi yuko sahihi ukifanya mambo mengi ukakosa kudeal na jambo muhimu moja basi hufai ni sawa na serikali ikizembea kwenye jambo kama hili la Corona basi haifai kabisa so mkuu yuko sahihi. Jana nliona nadhani ni Tv ya Rwanda walikuwa wanazungumzia kuhusu daraja hilohilo asa ukiwa na akili fupi utadhani mzee kazingua la hasha kaongea ukweli daraja kama lile now lilipaswa liwe limeisha, usha imagine kama mvua kubwa ikaja ghafla now?


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
ila kitu unapaswa kufahamu juzi katika utiaji sahihi wa mradi wa airport Msalato na barabara ya Bagamoyo-Lungalunga Mkuu wa TANROAD kuna point aliisisitiza sana kiustadi kuhusu funds za compensation kuwa tayari!

Sasa haihitaji kutumia akili nyingi kufahamu huwa kuna ucheleweshaji wa fedha kutoka wizara ya fedha kutokana na ukweli institution zimehodhiwa kwenye kufanya maamuzi na lazma yatoke kwake! Kitu ambacho kwa serikali hii huwezi kulitamka hadharani ni mwiko! Na wasaidizi wanalijua hilo!

Siamini kama fedha za maafa zilikuwapo readily available kama anavyodai JPM! Ukimsoma vizuri hulka ya mkulu inafahamika ni kuruka lawama siwezi kushangaa kama fedha wanazosema zilikuwepo zimetolewa jana! Kiufupi simuamini hivyo!
 
inakaa speech ya Mbowe imemchanganya! 😀 😀

Kumkubali mtu sio kumsifia tu hata kumuonya pia so nlimsikia anasrma angrmfukuza dhat means still he needs to do more to be a good leader zaidi


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Kumkubali mtu sio kumsifia tu hata kumuonya pia so nlimsikia anasrma angrmfukuza dhat means still he needs to do more to be a good leader zaidi


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
Jaribu kusoma hulka ya JPM kiundani utapata mwanga kidogo mimi kwa asilimia kubwa ninahisi kulikuwa na ucheleweshaji wa fedha za ukarabati na matengenezo! Na pia hata za ukarabati ambazo zilipaswa kutolewa kabla ya mvua hazijaanza! Ila ndo hivyo huwezi kumbishia! Kingine huwa hatabiriki leo kauliza kwanini wasijenge diversion kwenda nje ya road reserve lakini ikumbukwe vilevile angeweza kukataa kulipa fidia pia akaja kama alivyokuja akakudhihaki na kukukashifu mbele ya kadamnasi kama kawaida yake baada ya kupewa gharama kubwa! Ni ngumu sana kufanya kazi na Mkulu unakosa kujiamini kabisa! Kutokana na kutotabirika na kutofuata taratibu! it malways makes sense to have functioning instutions than having one's intuition deciding everything!
 
Jaribu kusoma hulka ya JPM kiundani utapata mwanga kidogo mimi kwa asilimia kubwa ninahisi kulikuwa na ucheleweshaji wa fedha za ukarabati na matengenezo! Na pia hata za ukarabati ambazo zilipaswa kutolewa kabla ya mvua hazijaanza! Ila ndo hivyo huwezi kumbishia! Kingine huwa hatabiriki leo kauliza kwanini wasijenge diversion kwenda nje ya road reserve lakini ikumbukwe vilevile angeweza kukataa kulipa fidia pia akaja kama alivyokuja akakudhihaki na kukukashifu mbele ya kadamnasi kama kawaida yake baada ya kupewa gharama kubwa! Ni ngumu sana kufanya kazi na Mkulu unakosa kujiamini kabisa! Kutokana na kutotabirika na kutofuata taratibu!

Of course lkn don live kwa labda labda maana contact za Mr president anazo failure on serious matters inaku punguzia credit at all, me naelewa vema lkn when it comes kwenye hili sacrifice ni muhusika tu, au mzee we kwenye issue kama hii ungesolve vp?


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
ila kitu unapaswa kufahamu juzi katika utiaji sahihi wa mradi wa airport Msalato na barabara ya Bagamoyo-Lungalunga Mkuu wa TANROAD kuna point aliisisitiza sana kiustadi kuhusu funds za compensation kuwa tayari!

Sasa haihitaji kutumia akili nyingi kufahamu huwa kuna ucheleweshaji wa fedha kutoka wizara ya fedha kutokana na ukweli institution zimehodhiwa kwenye kufanya maamuzi na lazma yatoke kwake! Kitu ambacho kwa serikali hii huwezi kulitamka hadharani ni mwiko! Na wasaidizi wanalijua hilo!

Siamini kama fedha za maafa zilikuwapo ready available kama anavyodai JPM! Ukimsoma vizuri hulka ya mkulu inafahamika ni kuruka lawama siwezi kushangaa kama fedha wanazosema zilikuwepo zimetolewa jana! Kiufupi simuamini hivyo!

Lkn mzee Geza ninavyo mnoti mzee ni kwamba ukiona kaja kudismiss watu ujue average time imeisha,


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Of course lkn don live kwa labda labda maana contact za Mr president anazo failure on serious matters inaku punguzia credit at all, me naelewa vema lkn when it comes kwenye hili sacrifice ni muhusika tu, au mzee we kwenye issue kama hii ungesolve vp?


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
Moja mi nimeona kuna kitu kimefichika! Kwa mfano kwann blame ya kutofukuza regional Engineer na wale 12 asipewe Waziri Mkuu badala yake Waziri na mkurugenzi TANROAD? Je kati ya hao kuna anayeweza ku-overturn decision made by PM aliyesema ahamishwe? Na sheria za nchi zinasemaje?

Pili, agizo katika suala la kujenga daraja la muda pembeni alitoa PM ili magari yapite matokeo yake hydrological maps hazikutazamwa vizuri pia upana wa flood basin haukuangaliwa na pia ubadilikanaji wa mkondo kutoka sehemu yake asili pia! matokeo yake maamuzi ya kisiasa! Baada ya siku kadhaa daraja limesombwa tena!

Tatu, Pamoja na kwamba mvua imechangia ila ukiangalia alipopita Rais leo, unaona kabisa river banks zimekuwa sort of constrained maana yake mkondo umefinywa na shughuli za kilimo je huko upper riparian areas kwa kiasi gani alteration hiyo imefanyika je principles za fluid dynamics zinaangaliwa kwa mapana yake? Je 60m za kuacha mto upumue kama sheria za mazingira za nchi zinavyosema zimezingatiwa?

Nne, je huu mto Kiegeya si distributary ya bwawa Mtera? Je Bwawa la Kidatu? Bwawa la Mtera au Bwawa la Kidatu si Wami River Basin System? How big is the catchment area? Si majuzi tuliambiwa mlango wa Bwawa utafunguliwa kulinusuru lisi-overflow na kuleta floods ama hata dam banks kupasuka na kuleta madhara mabaya zaidi? Je si maafa haya yamesababishwa na hili?

Tano na kama Bwawa la Mtera halipo Wami basin, je hakuna mabwawa mengine ya Umeme ama Umwagiliaji upper Riparian areas kati ya Kilosa na Kongwa/Mpwapwa yaliyofunguliwa maji kupunguza kina na kusababisha floods lower Riparian? Sasa cha ajabu nini kama madaraja yanasombwa na water velocity kubwa?

Hii maneno leo imenifanya nijiulize mara kumikumi? Je JPM aliuliza watalaam wetu wa SUA juu ya hili? Kama hapana jee maamuzi yake yako sahihi? Kusema kweli ndo maana huwa sipendi mob justice ya JPM kuna vitu vinapaswa kuangaliwa kwa kina kwa kiasi kikubwa naweza kuhusisha hili la nne na la tano na ubomokaji wa daraja la mto Kiegeya mara mbili.

To prove this I will prefer a more scientific approach!













The-Rufiji-River-its-main-tributaries-and-existing-and-planned-dams.png


800px-Rufiji_River_basin_map.svg.png


Map-of-the-Wami-River-basin-showing-the-locations-in-red-that-were-selected-for-the_Q640.jpg


 
Back
Top Bottom