joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Brt phase 4 nusu..maana brt phase 4 ina run Tegeta to Posta ...so ni just ka strech9 lanes total with BRT phase 4 kwa pamoja
Yap Bora tuanze ujenzi kuendeleza inakua rahisi sanaBrt phase 4 nusu..maana brt phase 4 ina run Tegeta to Posta ...so ni just ka strech
Sent using Jamii Forums mobile app
Cjajua lengo la hyo training ila km ni kuwaendeleza nadhani wangepeleka vijana wadogo ingependeza zaidi.
Ngj tuangalie upepo, nadhani km aliyoyaanzsha yataleta return kwa kiasi fulani bila shaka WaTz watapiga kelele cz katiba ni ya wananchi.Mushaanza kuchanganyikiwa sasayani tungepitisha sheria huyu jamaa atawale hata miaka 20 mgetia akili nyinyi
Kwanza unajua huo mkopo ni kwa ajili ya nn??Benki ya Dunia inatarajia kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake
View attachment 1380787
Tunafanya maendeleo yetu kwa pesa za ndani Yani cash 😁😁😁View attachment 1380787
Hii taarifa unayo buda😁😁😁Benki ya Dunia inatarajia kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake
View attachment 1380787
Tunafanya maendeleo yetu kwa pesa za ndani Yani cash 😁😁😁View attachment 1380787
Nafkiri wanataka kuweka chuo cha mafunzo na kutoa supportCjajua lengo la hyo training ila km ni kuwaendeleza nadhani wangepeleka vijana wadogo ingependeza zaidi.