Wachawee, hapo hatari sana apo mkuu
Kwani hapa njia ngapi? Mbona jirani anapata homa.
Tatu City highway 😁Kwani hapa njia ngapi? Mbona jirani anapata homa.
Hii ni Mwenge Bamaga, nyuma ndo kijitonyama.Kijitonyama baby
Ili hii barabara iwe vizuri kuna haja ya interchange kama ya ubungo pale mwenge ...na morroco...hapo hio road itaenda vizuri..na pia ni future plan nzuri..au wakianz hata na over pass kama ya tazara which is not so costfull
9 lanes total with BRT phase 4 kwa pamojaKwani hapa njia ngapi? Mbona jirani anapata homa.
Mwenge watajenga pale plan ipo kabisaIli hii barabara iwe vizuri kuna haja ya interchange kama ya ubungo pale mwenge ...na morroco...hapo hio road itaenda vizuri..na pia ni future plan nzuri..au wakianz hata na over pass kama ya tazara which is not so costfull
Waje wapanue pia Coco beach-Masaki-Msasani-Mikocheni- Kawe iwe 2*2 road hio itafanya watu wote wa kawe na mbezi beach wanaoenda posta wasipitie mwenge waje wapitie msasani - msaki- coco beach - new selender bridge waingie posta sema hio strech ya Upanga- posta itakuwa ina magari ya kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tena 4% 😀😀😀😀😀
Mushaanza kuchanganyikiwa sasa😀😀😀😀 yani tungepitisha sheria huyu jamaa atawale hata miaka 20 mgetia akili nyinyiSasa since Mabeberu au mabwana was Kenya bali wametakaswa Sasa kwa kutoa ripoti positive...would it be just Kuna uchaguzi 2020 na Jemedari Magu anapewa hell mwezi Mei?
Uchaguzi ni wa lini bro?