Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila kuna mambo yanakera sana tuna derby kubwa Afrika tunajivunia lkn bdo kuna wapuuzi bdo wamelala sn, haiwezekani mechi kubwa km hii ya leo isipatikane kwny mtandao mkubwa km Live scores, huu ni udhaifu mkubwa sana kwakweli, mara nyingi nmekuwa nikiingia live scores con ligi ya bongo lkn ya wenzetu Mungiki japo haina mvuto lkn wanaitangaza sn hata ukiangalia pale supersport utaona matangazo ya ligi ya kenya, ila hii yetu haya majinga TFF yamelala tu kazi yao kupanga matokeo hamna yanachofanya kuongeza thamani ya ligi, yn yanaturudisha Tz ile ya upigaji.View attachment 1381122
usiweweseke baba hivi vitu vidogo unaweza ukakuta page ya Mungiki! Kama Rais wa CAF alikuwapo na Super sport waliirusha live huna haja ya kupiga kelele! Hayo mengine ni ujinga mdogo mdogo usioumiza! Hata Rais wa FIFA anatujua!

ENxFo3xWkAM5eqC



CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 
Huoni hata aibu kulinganisha hizo screenshots

Hiyo ya Kilimani it's something very zoomed mpaka streets zinaonekana

Hapo chini rafiki yangu kuna kata 3 ( wards ) na mitaa zaidi ya 50+
Kuanzia Posta, Kisutu, Upanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kuna hadi Kariakoo yenye mitaa zaidi ya 40 nayo
Kwahiyo hapo chini utapata mitaa zaidi ya 90+ mzeiya....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia macho vizuri ndio uone.....both picture nime zoom 2000 ft tazama hapo chini utaona
Huoni hata aibu kulinganisha hizo screenshots

Hiyo ya Kilimani it's something very zoomed mpaka streets zinaonekana

Hapo chini rafiki yangu kuna kata 3 ( wards ) na mitaa zaidi ya 50+
Kuanzia Posta, Kisutu, Upanga...

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_2020-03-08-18-35-50.jpeg
Screenshot_2020-03-08-18-43-52.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahah look at u fool after launching isolated unit now u brag of having ability!

East Africa has no confirmed cases yet, although several people have been put in quarantine as a precaution.

In Kenya, the government has just opened a quarantine centre in the capital, Nairobi, for suspected cases.

In Tanzania, the health minister announced that isolation centres in the north, east and west of the country had been identified. Thermometers have been stockpiled and more than 2,000 health workers trained.

Last month, Uganda opted for regulated self-isolation at home for a number of passengers that needed to be quarantined on arrival at Entebbe airport.

Coronavirus: Could Africa cope with an outbreak?
 

Attachments

Back
Top Bottom