Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lets compare today's 2 matches

Gor Mahia vs AFC Leopard






vs

Simba vs Yanga






JPM in the house




MY TAKE
Middle income mnatuangusha aisee! kelele zoote za "Mashemeji derby" inabaki lip service twitter kama kawaida yenu halafu uwanjani empty seats! wakati "Kariakoo Derby" ni full watu wamejaza viti vya uwanja! Mkiambiwa Dar es salaam haina mpinzani hapa EA mnaanza kubisha!



CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 
Westlands and Dar cbd are like twins
tapatalk_1583678749540.jpeg
images-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna mambo yanakera sana tuna derby kubwa Afrika tunajivunia lkn bdo kuna wapuuzi bdo wamelala sn, haiwezekani mechi kubwa km hii ya leo isipatikane kwny mtandao mkubwa km Live scores, huu ni udhaifu mkubwa sana kwakweli, mara nyingi nmekuwa nikiingia live scores con ligi ya bongo lkn ya wenzetu Mungiki japo haina mvuto lkn wanaitangaza sn hata ukiangalia pale supersport utaona matangazo ya ligi ya kenya, ila hii yetu haya majinga TFF yamelala tu kazi yao kupanga matokeo hamna yanachofanya kuongeza thamani ya ligi, yn yanaturudisha Tz ile ya upigaji.
Screenshot_2020-03-08-18-46-36.jpeg
 
Ila kuna mambo yanakera sana tuna derby kubwa Afrika tunajivunia lkn bdo kuna wapuuzi bdo wamelala sn, haiwezekani mechi kubwa km hii ya leo isipatikane kwny mtandao mkubwa km Live scores, huu ni udhaifu mkubwa sana kwakweli, mara nyingi nmekuwa nikiingia live scores con ligi ya bongo lkn ya wenzetu Mungiki japo haina mvuto lkn wanaitangaza sn hata ukiangalia pale supersport utaona matangazo ya ligi ya kenya, ila hii yetu haya majinga TFF yamelala tu kazi yao kupanga matokeo hamna yanachofanya kuongeza thamani ya ligi, yn yanaturudisha Tz ile ya upigaji.View attachment 1381122
Inaoneka wewe bado uko stone age
Screenshot_2020-03-08-19-01-44.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna mambo yanakera sana tuna derby kubwa Afrika tunajivunia lkn bdo kuna wapuuzi bdo wamelala sn, haiwezekani mechi kubwa km hii ya leo isipatikane kwny mtandao mkubwa km Live scores, huu ni udhaifu mkubwa sana kwakweli, mara nyingi nmekuwa nikiingia live scores con ligi ya bongo lkn ya wenzetu Mungiki japo haina mvuto lkn wanaitangaza sn hata ukiangalia pale supersport utaona matangazo ya ligi ya kenya, ila hii yetu haya majinga TFF yamelala tu kazi yao kupanga matokeo hamna yanachofanya kuongeza thamani ya ligi, yn yanaturudisha Tz ile ya upigaji.View attachment 1381122
Kwenye site zingine za livecsore waliweka.
 
Back
Top Bottom