Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzoefu has nothing to do with talent, alikuja cr7 pale utd akawakuta wachezaji kibao wenye uzoefu wa epl kumzd lkn yy ndo akawa nembo ya epl
Then give bajaji time to prove himself (of course in the championship) next season. It's still too early to make these stupid comparisons
 
Wazazi wake walizaliwa mwanza pia [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeona nimewaongelea wazazi wake hapa we vp ww au ushapagawa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-03-07-12-32-07.jpeg
 
I already told you that huenda wewe ni shabiki wa ndondi. How you expect a defensive midfielder to score goals is a clear indication that you know nothing about football. You think every player in a football match is played to score goals? How many goals do goalkeepers score?
Huyo hamna kitu kabisa na usirudie tena kumfananisha na Samatta kwa sababu unamkosea heshima goals machine samagoal.
 
PPP (purchasing power parity) ndiyo real GDP (kwa nchi husika), ni uwezo wa nchi kununua bidhaa/huduma. Nominal (GDP) ni kiwango cha kinadharia zaidi, kinacho dhani bei ya bidhaa/huduma duniani kote ni sawa. Yaani bei ya embe Tanzania na Canada ni sawa bila kujali upatikanaji au mfumuko wa bei.

Hivyo, watu wanaposema umasikini ni kupata dola moja kwa siku kwa kutumia kigezo cha Nominal (GDP) siyo sawa kwa kuwa, dola moja Tanzania mtu anakula (tena organic food) mara mbili kwa siku wakati Kenya hicho kitu hakiwezekani. Ndiyo maana Kenya (Nominal - GDP) ni kubwa kuliko Tanzania wakati PPP ya Tanzania inaizidi ile ya Kenya.

ChoiceVariable unaweza kuja kusaidia hapa.
Umeelezea vizuri Bro 👏👏👏
 
Nafikiri hili jambo nalo ni la kufungulia uzi, ili ikiwezekana napo tuwashikishe ukuta (sekta ya afya: Tanzania vs Kenya) mana haiwezekani waje kujazana huku kwetu kutafuta tiba af walete dharau, inatakiwa ifahamike kwamba cc ndio baba lao kwa kila idara [emoji116][emoji116]
TANZANIA YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUTIBU SARATANI YA IMRT - Lemutuz Blog
Screenshot_2020-03-07-18-04-37.jpeg

Usisahau kwmb huduma hii kwa Afrika inapatikana South Afrika na Egypty pekee.

Karibuni Wakenya [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom