Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Musoma hii👇👇👇🤣🤣🤣
Screenshot_20200205-170955_YouTube.jpg
Screenshot_20200205-171023_YouTube.jpg
Screenshot_20200205-171041_YouTube.jpg
Screenshot_20200205-170858_YouTube.jpg
 
UAE is 100% lakini hakuna mtu anakufa njaa, mbona chai mnazalisha kwa wingi, au chai inapandwa jangwani?. Ubepari huo unawamaliza, ardhi yote nzuri ipo mikononi mwa matajiri hawaoni umuhimu wa kulima chakula, matokeo yake wananchi wa kawaida wanakosa ardhi ya kulima wanategemea chakula cha misaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wana mafuta mengi kupindukia yeneye thamani ya billions of dollars..upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukubali nini? Kwamba geography inatumika kuhesabu floors and knowing which building is taller than the other? I mentioned geography na ujenzi coz in the mind of kilaza mwenzako, geography goes into designing a building all factors remaining constant. Geography only applies in determining soil structure and "strength" to avoid disasters. My point is, you cannot use geography to determine how tall a building is or the number of floors it has which is what Ichoboy was doing
🤣🤣🤣💉💉💉 sindano hii hapa ipokee
Screenshot_20200228-202512_Samsung capture.jpg
Screenshot_20200228-201212_Samsung capture.jpg
20200228_202936.jpg
 
He was disputing the number of floors of GTC towers and that's when he started talking about photography after he drew zigzag lines as a way of showing which tower was taller than the other and by how many floors. Mbona unatetea ujinga?
Naomba upokee sindano za moto🤣🤣👇👇
Hapa sip nairaland mzee wa BRT subiri dawa yako inachemka nawewe 🤣🤣🤣 siunaongea mchana kweupe kua munajenga BRT dawa yako inachemka kaa mkao wa kula
Screenshot_20200228-202512_Samsung capture.jpg
Screenshot_20200228-201212_Samsung capture.jpg
20200228_202936.jpg
 
Yule kilaza mwenzako alisema geography inatumika kuhesabu floors hadi akichora some ugly zigzag lines to prove his point. When cornered he later resorted to talk about survey. How stupid!
Kasome survey in geography alaf rudi hapa nikuelekeze mambo yanayohusu photography mbuzi wewe 🤣🤣🤣 na jiandae dawa yako ya BRT ipo inachemka
 
Desperate tanzanians now turned hecklers...lol.i think am now used to your stupid tantrums........any interchange outside dar...?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hvi ww unaijua interchange ilivo???😁😁😁 unatuonesha overpass unasema interchange

Alaf kingine sisi tunajenga kutokana na mahitaji sio kama nyinyi munajenga overpass kwenye sehemu hakuna hata mahitaji ndio maana leo unashangaa debt to GDP ration iko 64% 😁😁😁
 
Back
Top Bottom