babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
I do not know that but you can judge from this photo of eastlands belowHujajibu swali, slums nyingine zinacover area size gani?
Aliyasema hatuzalishi ni nani? Unafikiri sisi ni wazembe Kama nyie? 2/3 of kenya is arid or semi-arid and nothing much happens in those regions. Kisii is not part of arid regions as you can see from those pictures and it's food sufficient. Huko ukosefu wa chakula ni kama ndoto zile zenu za dream housesKwanini msizalishe chakula badala yake mnalalamika kwamba Kenya ni jangwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
UAE is 100% lakini hakuna mtu anakufa njaa, mbona chai mnazalisha kwa wingi, au chai inapandwa jangwani?. Ubepari huo unawamaliza, ardhi yote nzuri ipo mikononi mwa matajiri hawaoni umuhimu wa kulima chakula, matokeo yake wananchi wa kawaida wanakosa ardhi ya kulima wanategemea chakula cha misaadaAliyasema hatuzalishi ni nani? Unafikiri sisi ni wazembe Kama nyie? 2/3 of kenya is arid or semi-arid and nothing much happens in those regions. Kisii is not part of arid regions as you can see from those pictures and it's food sufficient. Huko ukosefu wa chakula ni kama ndoto zile zenu za dream houses
Nimesema hizo squalors mnaita dream houses zinapatikana tu kwenye slums huku kwetu. Can't you join the dots? Huwezi pata hizo nyumba mnaita dream houses anywhere outside slums huku Nairobi. Nionyeshe picha kama hii kutoka Nairobi kama sio slumSs hzo slum ziko wapi ebu tupia pcha japo mbili za hzo unazoita ww dream house af na mm nitupie original definition tuone![]()
Hiyo ya ardhi ni wimbo tumeimbiwa toka enzi za Nyerere so you are not telling me anything new. Try a different line kijana wa tandaleUAE is 100% lakini hakuna mtu anakufa njaa, mbona chai mnazalisha kwa wingi, au chai inapandwa jangwani?. Ubepari huo unawamaliza, ardhi yote nzuri ipo mikononi mwa matajiri hawaoni umuhimu wa kulima chakula, matokeo yake wananchi wa kawaida wanakosa ardhi ya kulima wanategemea chakula cha misaada
Sent using Jamii Forums mobile app
There's nothing to write home about Tanga of course except the fact that it's a "city"
Huu uchafu huwezi kuta Dar CBD hata cku mojaAmazing

Nimesema hizo squalors mnaita dream houses zinapatikana tu kwenye slums huku kwetu. Can't you join the dots? Huwezi pata hizo nyumba mnaita dream houses anywhere outside slums huku Nairobi. Nionyeshe picha kama hii kutoka Nairobi kama sio slum View attachment 1375521
Nice pic ila hz nguzo za mbao wazifanyie mpango zitoke apo zmeshapita mda wake mkuu this is new Tanzania the soul of a new Africa
that`s overpass my friend!
Hii Ni kisumu au kisiiKisumu city beibee.......View attachment 1375409View attachment 1375410View attachment 1375411View attachment 1375413
Sent using Jamii Forums mobile app


Noma.