Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The only three level interchange in east and central africa

Morogoro road is currently under two major constructions, interchange and expansion from kimara to kibaha. ..
$150M ndio mkwanja unaofanikisha hizo kazi...

Ni barabara gani apo kenya ambayo inaproject namna hiii kwa sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SGR
IMG_1583231714.778490.jpg
 
lol kwani hao raia 89% wanaishi kwenye hizo slums sio binadamu? Sio wakenya?

Mbona kama unawaongelea mbuzi au bata? Eti "nje ya slums"

Wanaoishi kwenye slums zilizotapakaa Kenya nzima na wenyewe ni wakenya na ni walipa kodi kama hao wanaoishi kwenye cages kama broilers

Hawa hapa View attachment 1375314

Rais wako mwenyewe ni slum dweller View attachment 1375315
Hahahaaa!!!bado haiwezi badilisha ya kwamba kibera ina watu wasiozidi laki mbili hku uswazi middle class kunaishi mamilioni ya watanzania..

Ukitaka hyo 89% weka 90..lkn ukwel lazima muambiwe...dar uswazi ina cover eneo kubwa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeokoteza nchi gani hii picha? Maana East Africa tunaendesha upande wa kushoto wa barabara.
Ni wapi nimesema hiyo ni ya east Africa? I used that as an example to ask him inaitwaje. Can't you even see it's a render?
 
Slum nyingine zinacover area ya ukubwa gani?
Kibera is the biggest slum in Nairobi and covers 2.5 square kilometres. Zile dream houses zenu ziko kushoto kulia and covers more than 80% of your city.
 
Kibera is the biggest slum in Nairobi and covers 2.5 square kilometres. Zile dream houses zenu ziko kushoto kulia and covers more than 80% of your city.
Hujajibu swali, slums nyingine zinacover area size gani?
 
Back
Top Bottom