The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Af ukae ukijua hilo eneo limeanza kujengwa juzi juzi tu hapa miaka michache tu nyuma halikuwa hivyo, kasi yake ni kubwa so km wewe ni mkazi wa hapo jiandae kuondolewa, nyie ndio mnaoharibu ramani ya jiji kwa kujenga hovyo hovyo



