LOL station zao hunichekesha jambo moja
Stations zetu ni portable zenye tija zinazozingatia maeneo tofauti na wenzetu ma stations makubwa mpk porini af wanatuambia eti wamelenga 2035 ongezeko la watu, wangesema tu ongezeko la watu na wanyamasijui kwann hii imenitokea.. ni kwamba baada ya kuona picha za SGR ya Tanzania, haya mastations makubwa ya kenya SGR nimeyaona hayana mvuto tena![]()
Ha haaaa mkuu umeuwaNilipigwa ban baada ya kuleta Uzi wa namnagani serikali ya Kenya imeusika kuwekewa vikwazo Na marekani ,Nilitaka kushusha nondo hatari kwenye huo Uzi ,
Kunasiku nilisema hapa majeshi ya Kenya yalikimbia baada ya al shabbab kuvamia kambi ya jeshi Kenya na USA na kuua wamarekani nikaonekana muongo nikala BAN baada ya siku chache repoti kutoka kwa wamarekani wenyewe ikatoka kuwa wanajeshi wa Kenya walikimbia na kujificha maporini tena habari ya chini ya kapeti zinasema kdf 20 walikimbia wakiwa uchi maana walikuwa wanaoga kama mang'ombe pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo ukweli mkuusijui kwann hii imenitokea.. ni kwamba baada ya kuona picha za SGR ya Tanzania, haya mastations makubwa ya kenya SGR nimeyaona hayana mvuto tena![]()
Haya sasa mambo mdogo mdogo yanaanza kuchanua chanuaOkay, did they make a deal? Hizi ndio level zetu sasa
Aiseee hawa wehu wameamua kupigisha kwata abiria leg exerciseLOL station zao hunichekesha jambo moja
Unaanzia kuzipanda chini kisha unaenda juu then unashuka chini kukamata mtambo wako wa komoni
Yaani hiyo routine ni utafikiri unapunguza obesity![]()
LOL na huko kunako pipa la chang'aa utachekechwa kama mchanga wa ulanga ๐ ๐ ๐ ๐