Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leta sign board yoyote ikionesha Kenya kuna ujenzi wa BRT Kenya haki ya Mungu ukipata mm nafunga acc jamii forum🤣🤣🤣🤣
Wewe ulishasema kwamba hiyo ni Nairobi-Nakuru highway hadi ukahapa so hakuna haja ya Kutusumbua tena.
 
Ichoboy, ujenzi wa barabara sio kama kukaanga njugu. There's a lot of work that goes on before even graders begin to work. One of these is soil testing. Wewe unadhani bora launching imefanyika tu then the next day uchimbaji wa barabara inaanza kuashiria ujenzi inaendelea? Saa zingine ni vyema kutojifanya unajua kila kitu while you are the most misinformed Tanzanian in this forum
Ahahhaha msikieni huyu kwan pinnacle hamku launch mumesahau leo🤣🤣🤣🤣🤣 lets ushahidi wa sign board kua construction of BRT na expressway zinajengwa ukipata mm nafunga acc jamii forum
 
If I remember correctly, the expressway to be built is only one. Nrb to Msa. Na ndio ina story mob kuhusu nani atoe pesa. China ili mtoe road toll barabarani au US kwa mkopo nafuu. Hizo nyingine ni pang'ang'a zako as usual to catch up with your ego.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe unapinga hadi mambo yaliyo wazi. Nairobi-Mombasa expressway was a project by the Americans and construction is yet to start while JKIA -westlands expressway is a project by the Chinese and it's well underway. Ujinga ni kujifanya unajua masuala ya Kenya kushinda sisi wenyeji?

Are these two the same project?


 
Back
Top Bottom