Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The only cable stayed sgr bridge in east and central africa👇👇💉💉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Screenshot_20200214-225527_YouTube.jpg
 
Hehe.....lack of exposure ni ugonjwa kweli..hiyo dar yenu ni ajabu kwa standards za tanzania kweli.....lol
Hawana density kama hii. Magorofa ya Nairobi yanaonekana mengi kwa vile yameachiana sana nafasi. Mji una vichaka vya wazi vingi. Ukiyakusanya maghorofa yote ya Nairobi hayawezi hata kupajaza Kariakoo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
An electrified SGR ina sohphisication mvuto wa aina yake huwezi kulinganisha na non-electrified one, tofauti yake ni kama mbingu na dunia...Its time jirani atambue kuwa ameibiwa na mChina....
nangoja riot siku yetu inazinduliwa twitter itakuwa all war!
 
Back
Top Bottom