Ulijenga wewe?
Hawana density kama hii. Magorofa ya Nairobi yanaonekana mengi kwa vile yameachiana sana nafasi. Mji una vichaka vya wazi vingi. Ukiyakusanya maghorofa yote ya Nairobi hayawezi hata kupajaza Kariakoo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
nangoja riot siku yetu inazinduliwa twitter itakuwa all war!An electrified SGR ina sohphisication mvuto wa aina yake huwezi kulinganisha na non-electrified one, tofauti yake ni kama mbingu na dunia...Its time jirani atambue kuwa ameibiwa na mChina....