Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa huyu nae makasiriko ni ya nini
Kocha Dean Smith alifanya sub mby kumtoa Samatta mana ake akawa ameruhusu Totteham kupanda wakawa wanakabia juu, unajua faida ya kuwa na Samatta mbele ni msumbufu kwa mabeki wa timu pinzani, ss alipotoka tu mzigo mkubwa ukamuelemea capt. Grealish pekeake kukawa hakuna mashambulizi mbele na mchezo ukawa umeishia hapo.

Kingine ni kwamba Villa wanatakiwa wanunue beki zenye uwezo wa kufanya maamuzi mapema, beki zao za ss kuanzia namba 5, 4, na namba 3 hazina maamuzi ya haraka ambapo inapelekea kufanya makosa ya mara kwa mara.
 
Kocha Dean Smith alifanya sub mby kumtoa Samatta mana ake akawa ameruhusu Totteham kupanda wakawa wanakabia juu, unajua faida ya kuwa na Samatta mbele ni msumbufu kwa mabeki wa timu pinzani, ss alipotoka tu mzigo mkubwa ukamuelemea capt. Grealish pekeake kukawa hakuna mashambulizi mbele na mchezo ukawa umeishia hapo.

Kingine ni kwamba Villa wanatakiwa wanunue beki zenye uwezo wa kufanya maamuzi mapema, beki zao za ss kuanzia namba 5, 4, na namba 3 hazina maamuzi ya haraka ambapo inapelekea kufanya makosa ya mara kwa mara.
👏 👏 👏
 
Year 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Azamara cruise ship docks in Dar Es Salaam, Tanzania with 600 passengers on board. She will be in Tanzania for 3 days and giving tourists time to explore exciting sites which dots this famous city located along the coast of the Indian Ocean in East Africa.

 
Year 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Rovos Train, Cape Town to Dar es Salaam

One of the World's most luxurious train from Republic of South Africa, Cape Town arrives at The TAZARA railway station in Dar es Salaam, Tanzania .

 
Mocambicano reage Dar es Salaam, Tanzania



Source: OS PRIMOS / MZ

N.B
Kifupi jamaa yetu anashangazwa na kutamani anachokiona Tanzania huku anakuwa akijiuliza anaota au ni ukweli anachoona kijiditali machoni akikatiza sehemu mbalimbali ya Jiji Letu pendwa Afrika Mashariki
 
Mocambicano reage Dar es Salaam, Tanzania



Source: OS PRIMOS / MZ

N.B
Kifupi jamaa yetu anashangazwa na kutamani anachokiona Tanzania huku anakuwa akijiuliza anaota au ni ukweli anachoona kijiditali machoni akikatiza sehemu mbalimbali ya Jiji Letu pendwa Afrika Mashariki
Lazima apagawe na akiondoka akirudi tena anaweza akazimia kabisa
 
Hawezi kupata na akipata mm nafunga acc jamii forum bro mark my words🤣🤣🤣 project yenyewe ni render tena bado ina vizuizi vingi sana kwasababu ni PPP na mwekezaji anaangalia maslahi je itamlipa 😁😁😁😁
Kwani ulisikia alilazimishwa kuwekeza? The investors already did their homework before committing so wewe unaongea mambo usiokuwa na uelewa hata kidogo. Someone can't invest such amount of money on such a big project if he hasn't done his homework on ROI
 
Back
Top Bottom