Well said. hata vast cities na big cities in the world kama vile Shanghai, beijing, Tokyo, Sydney, London, New york, Paris, Las vegas, Los Angeles na nyingine nyingi watu wanaishi kwenye appartments, hutakuta mwehu kajenga kibanda chake kama ilivyo dar.
Mji kuwa na vibanda vingi ni kukosa utaratibu wa Real Estate. Poor town planning ni moja ya sababu viwanja dar ni very cheap, hata machinga na wavuvi wananunua na kumiliki viwanja.
Ukiwa dar uanfanya kazi yeyote au biashara, au hata kulima bustani ukashindwa kumiliki kiwanja basi hakika wewe ni hohehahe kabisa, maskini wa kutupwa. Dar kiwanja cha kujenga nyumba unapata hadi kwa USD 1500. What a poor city!
Kwa kufuata mipango miji, dar ni mwanafunzi tu kwa Nairobi. bila town planning kila mtu atajijengea atakavyo tu. dar ni moja ya miji ambayo iko poor planned.
Jiji kuwa na vibanda vinavyomilikiwa na watu binafsi si kulifanya liwe kubwa au zuri. Miji mizuri kama Rome (italy), Budapest, Amsterdam, venice na mingine mingi ina majengo ambayo ether ni Public owned au ni multi storey.
Haiingii akilini leo tuupime mji na kuuona uko juu kisa tu kuna wendawazimu wanamiliki vibanda vyao binafsi. Ingekuwa ndo hivyo basi miji kama Mogadishu ingeongoza. Miji ya kisasa haijengwi kwa kujaza vijibanda tu kama kwa wafuga kuku.
Pengine dar wanamudu kujenga vibanda vyao,, lakini kiuhalisia vinafaa kufugia kuku na bata tu.
poor dar
The 10 Poorest Cities in the World