Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CBD
chaturvedi1151_20200209_1.jpeg
tapatalk_1581200206994.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huyu mzee naye aache uzushi! Zile nyimbo za kuhamia Dodoma zimeishia wapi? Au ndo kupunguza gharama huku kusafirisha mawaziri na maofisa wa Wizara na serikali kila siku kuhudhuria uapisho Magogoni! Awe mkweli uhamisho wa serikali Dodoma ulikuwa changa la macho! Binafsi sijapenda kukengeuka na kugeuka kwake huku juu ya suala zima la kuhamia Dodoma! Akakae Dodoma kama baraza lake la Mawaziri linavyoishi huko!
 
Back
Top Bottom