Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

For any old city, it's very difficult to be well organized throughout its coverage especially African cities. Nairobi is organized in some areas also Dar is organized in some areas. The case is in which states are the disorganized areas!
But dar hakuna slum Nairobi zipo hio ndio point muhimu umesahau😀😀😀😀
 
To be fair nadhani wangeboresha ununuaji ticket kwanza uendane na rehabilitation ya reli! Hizi hela za kuchapisha majarida huu mpango umekaa ki-propaganda na haiingii akilini wakati internet ipo watu kwenye simu za viganja wanapata taarifa! Kimaoni yangu wangeweka kidau (a sort of competition) watu wa Kinuhub waje na apps za kufa mtu kurahishisha upangaji wa safari kutokea kwenye simu yaani searching for a train na hata ununuaji wa ticket kwa kupitia bank cards na simu!

Digital era imewaacha hawa jamaa instead of building a serious network with serious infrastructure with strong data center kama watu wa DART wanavyojitahidi nashangaa mpaka leo lazma mtu apange foleni kununua tiketi especially kipindi cha Xmas! Hii maneno imeni-bore kweli! Halafu tunalalamika our TRCA data center is underutilized! BTW hii page yao imekaa kishamba sana 👇


Masanja ananiangusha angeunganisha nguvu na hata wataalamu wa TTCL! Mkongo upo mtu ata aweze kupata ontime information ya cancellations ama delays! Huu ni upotezaji wa fedha TRC na ATCL need to wake up n see nchi zilizoendelea zinafanya nn! Usafiri wa treni Dar ule wa Pugu-Station na Ubungo Maziwa-Station sidhani kama kuna uwezekano wa kulipia month tickets ama kuna vituo vyenye platform za kuridhisha na sehemu za kujikinga na mvua ama toll gates za kulipia kama toll gates za NSSF Kigamboni bridge ama za DART! wangekuwa fasta they should be thinking of some apps za ku-swap na kulipa kwa simu na kuingia kwa gates kwa kutumia mobile money payment system! fastjet walijitahidi!

Wawatumie watu kama hawa 👇

Tutafika huko bro coz tumepeleka vitu kwa speed sana within short period of time but time will tell
 
For any old city, it's very difficult to be well organized throughout its coverage especially African cities. Nairobi is organized in some areas also Dar is organized in some areas. The case is in which states are the disorganized areas!
Only about 10% of Dar is organized. The rest is made up of dream houses thrown out in every available space in the most disorganized manner
 
Tutafika huko bro coz tumepeleka vitu kwa speed sana within short period of time but time will tell
When? If Samatta transfer imeishtua Aston villa homepage yao imepata additional 9 mln clicks! What does that mean? Hamna sababu ya ku-print magazeti! waboreshe website! Watanzania wengi wako online!

Sasa hii 👇

ina tofauti gani na hii?👇


angalia ya fastjet👇


all that design for Fastjet was mooted in Tanzania!

Ya Pecisionair 👇


sasa ya Air Tanzania though imeboreshwa hamna uwezekano wa kulipia hapo JPM kawekeza ndege 13! Data center ipo idle na Mkongo wa Taifa wenye network comparable to none in EA!



kama GoT wana hii 👇


wakina Masanja wanangoja nn?
 
Mungekuwa mnazileta tunaona at least three sides of those house ingejulikana, but what we see now its just top view wala hatuoni kitu kingine
Unataka aerial photo ionyeshe hadi ndani ya nyumba? What a stupid argument!
 
Only about 10% of Dar is organized. The rest is made up of dream houses thrown out in every available space in the most disorganized manner
Hapo umezidisha chumvi, the disorganized areas in Dar es salaamu ni makazi ya zamani tu that's what we see kwenye paa zina jizihirisha, lakini pia Nairobi kuna slum nyingi kweli zinaondoa sifa ya kusema mji umepangika
 
😀😀😀😀😀😀😀👇👇👇👇
 
Hapo umezidisha chumvi, the disorganized areas in Dar es salaamu ni makazi ya zamani tu that's what we see kwenye paa zina jizihirisha, lakini pia Nairobi kuna slum nyingi kweli zinaondoa sifa ya kusema mji umepangika
Ndio maana huwa tunasema kwamba sehemu Kama hizo za Dar are only found in slum areas huku Nairobi. Ukitoka nje ya slums huwezi kutana na sehemu kama hizo za Dar, hata utembee hadi wapi. Below is South C for instance, a very normal estate in Nairobi for lower middle income earners. Compare that with your dream houses that cover three-quarters of your city
Screenshot_20190806-213042.png
 
Back
Top Bottom