Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naongea kama mwenyekiti wa hii thread naombeni nidhamu izingatiwe ctaki kuona mtanzania yoyote anapost hzi picha na nitakupomuona nitampiga ban hapo hapo nafkiri tumeelewa
2289587_IMG_20200130_001143_810.jpg
2289588_IMG_20200130_001130_840.jpg
 
Naongea kama mwenyekiti wa hii thread naombeni nidhamu izingatiwe ctaki kuona mtanzania yoyote anapost hzi picha na nitakupomuona nitampiga ban hapo hapo nafkiri tumeelewa
View attachment 1340646View attachment 1340647
Picha hii inawatesa sn hata kule kwny cost comparison thread imewasumbua sn yn wanapita km hawaioni hakuna mkenya awaye yote akakomenti kwny hii pcha ss inabd tuipotezee cz tukiendelea tutaiua hii thread na battle itapoteza uhalisia mana mpk ss Tz 10-0 kenya
 
Picha hii inawatesa sn hata kule kwny cost comparison thread imewasumbua sn yn wanapita km hawaioni hakuna mkenya awaye yote akakomenti kwny hii pcha ss inabd tuipotezee cz tukiendelea tutaiua hii thread na battle itapoteza uhalisia mana mpk ss Tz 10-kenya 0
Sasa naongea kama mwenyekiti wa hii thread ctaki kuona mtu yoyote anapost tena hzi pics tafadhalini sana au ntatembeza ban humu mpaka mutashangaa
 
Tuliwaambia mwakani thread itaanza kupoteza uhalisia mmeona ss mlivyoanza uoga haya km ww co muoga naomba mkenya yeyote jasiri akomenti [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1340659View attachment 1340662
bro fateni maelekezo plzz
Naongea kama mwenyekiti wa hii thread naombeni nidhamu izingatiwe ctaki kuona mtanzania yoyote anapost hzi picha na nitakupomuona nitampiga ban hapo hapo nafkiri tumeelewa
View attachment 1340646View attachment 1340647
 
Leo watu wamedungwa sindano zao asubuhi asubuhi wametulia kmyaaa wakirudi wanapotezea na maghorofa yao uchafu utasikia upper hill (papa hili) mara utasikia kilimani, mara dongo Kundu (hawa jamaa wana matusi sn) mmepewa picha apo mnashindwa kuijibu [emoji3][emoji3][emoji3]

Tulieni mwaka huu ndo tunaanza kuizika hii battle trust me
 
Back
Top Bottom