The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tz has a dream of achieving middle income status by 2025. Hope it becomes reality
Sent using Jamii Forums mobile app


in a whispering voiceTz has a dream of achieving middle income status by 2025. Hope it becomes reality
Sent using Jamii Forums mobile app


in a whispering voice😂😂😂it means that you have only estates and a very large number of slums!!Sielewi swali lako


Tofauti hapo ni barabara tu but the houses are nothing elseNdio maana huwa tunasema kwamba sehemu Kama hizo za Dar are only found in slum areas huku Nairobi. Ukitoka nje ya slums huwezi kutana na sehemu kama hizo za Dar, hata utembee hadi wapi. Below is South C for instance, a very normal estate in Nairobi for lower middle income earners. Compare that with your dream houses that cover three-quarters of your city View attachment 1342656
Utaonaje na umepumbazwa na uzalendo? Aren't you the same guy who said Ruai is a slum? I already told you that you are the most useless Tanzanian in this forumVery nice haya tuoneshe nn tatizo la hio pic baada ya kuzoom😀😀😀😀
it means that you have only estates and a very large number of slums!!
Google earth hawalitambui hilo😀😀😀😀
Nmejaribu kupima kwny mzani ujinga ulioubeba kichwani mwako nkakosa jiwe la kupimia
Some respect plz😀😀👇👇👇JKIA....The largest and busiest airport in East and central Africa handling 10 million passengers per year......View attachment 1342668View attachment 1342669
Sent using Jamii Forums mobile app
They are organized, that the point. And it shows in many other areasTofauti hapo ni barabara tu but the houses are nothing else
Huwezi leta zaidi ya estates 😀😀😀😀😀They are organized, that the point. And it shows in many other areas View attachment 1342672View attachment 1342674View attachment 1342676View attachment 1342677View attachment 1342678View attachment 1342682View attachment 1342683
And then we have Dar, sorry New York of Africa. It's a totally different story in New York as you can see View attachment 1342688
House of slums in the world😀😀😀👇👇👇They are organized, that the point. And it shows in many other areas View attachment 1342672View attachment 1342674View attachment 1342676View attachment 1342677View attachment 1342678View attachment 1342682View attachment 1342683
And then we have Dar, sorry New York of Africa. It's a totally different story in New York as you can see View attachment 1342688
Google Earth always shows aerial view itakuwa ngumu kuona boma za hizo nyumba na ndio maana mzungu hakuona slums Dar coz akishuka chini nyumba ziko njema shida ni moja tu paa zimechakaa sababu ya miaka mingi, but for Nairobi mzungu akishuka chini anaona mabanda kwa nini asi conclude kuwa ni slums.Enda Google earth upitie through Nairobi uone kama hizo slum zetu ziko for real.....how comes huruma mathare or kariobangi with just dilapidated flats are classified as slums yet tanzanians deny those tin shack uswazi hovels covering 98% of daresalaam as slums.It doesn't help denying poverty.....that's why an average tanzanian is only worth 800 dollars per year. A figure for failed states or war torn countries....yet ccm government keeps hiding the real picture of tanzania from the international lens but once you step into Tanzania the glaring poverty is so obvious
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe unaweza leta tuoneUnaanza kupanic tena, the logic behind nataka ulete lower oblique photo tuone
Very good point wao hufkiri mzungu ni mjinga sana 😀😀😀😀😀😀😀Google Earth always shows aerial view itakuwa ngumu kuona boma za hizo nyumba na ndio maana mzungu hakuona slums Dar coz akishuka chini nyumba ziko njema shida ni moja tu paa zimechakaa sababu ya miaka mingi, but for Nairobi mzungu akishuka chini anaona mabanda kwa nini asi conclude kuwa ni slums.
Eti enhhh akili yako imesmishia hapo😀😀😀😀