COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
We ata hujui kuargue kabsa...unaka mtoto😀😀😀😀😀😀😀 kaniekea international school mbili na mabanda ya kuku mawili alaf hakurudi tena tuendeleaa basi maneno mengi ya nn😀😀
We ata hujui kuargue kabsa...unaka mtoto😀😀😀😀😀😀😀 kaniekea international school mbili na mabanda ya kuku mawili alaf hakurudi tena tuendeleaa basi maneno mengi ya nn😀😀
una wazimu.....enda ujibambe..shule zote umeeka hakuna yenya hadhi ya international school ata moja😀😀😀😀😀😀😀 kaniekea international school mbili na mabanda ya kuku mawili alaf hakurudi tena tuendeleaa basi maneno mengi ya nn😀😀
Unanyumba Nairobi au kazi in kusifu za wenzako. Hata mjomba wako hana hizo nyumba ni za mapirrates na wezi wa south sudan. Nenda upate tohara kwanza nduo ukue na akiliUmewashwa sana hapo na wivu mob
Kwakwakwa rudi nyuma nenda ukaangalie vzr😀😀😀😀 hasira za nn sasa ule muda wakujiona superior umeisha 😛😛una wazimu.....enda ujibambe..shule zote umeeka hakuna yenya hadhi ya international school ata moja
hahahaaa man...ati hii ni international school.haifiki ata kwa jonathan gloag na loreto convent valley road...vi primary school.wanatia aibuHii inakaa kastemil kindergarten ile ya kasarani yawa....
![]()
Na hii je??????😀😀😀😀😀Hii inakaa kastemil kindergarten ile ya kasarani yawa....
![]()
Hio sio international school kaka hio ni shule ya government, inaitwa mbezi secondary school international school nimeweka rudi nyuma page 879 na 880 😀😀😀😀hahahaaa man...ati hii ni international school.haifiki ata kwa jonathan gloag na loreto convent valley road...vi primary school.wanatia aibu
hahaaa....ebu itoe inawatia aibu banaHio sio international school kaka hio ni shule ya government, inaitwa mbezi secondary school international school nimeweka rudi nyuma page 879 na 880 😀😀😀😀
Usichange motion
Hahaha ngombe ni ngombe tu,you should knw peopleUnanyumba Nairobi au kazi in kusifu za wenzako. Hata mjomba wako hana hizo nyumba ni za mapirrates na wezi wa south sudan. Nenda upate tohara kwanza nduo ukue na akili
We ata hujui kuargue kabsa...unaka mtoto
Tena hio ni shule ya government 😀😀😀😀hahahaaa man...ati hii ni international school.haifiki ata kwa jonathan gloag na loreto convent valley road...vi primary school.wanatia aibu
Acha kujifariji izo zote ni tofali ,na mmrshindwa kupiga plaster na cement na rangi mmeshindwa Hayo majengo walioshindwa kupaka rangi Nairobi yamejaa sanaThose are finishing stones known as ledgestones. You don't paint ledgestones. These types of finishes are actually very expensive and classy in comparison to paint. Kweli Wabongo washamba. Hawa ni wale huenda hoteli wakipewa salad wanazusha eti wamewekewa mboga mbichi. Bongolala mshamba.
Hatutaki matusi tafadhali kama huna hoja au umezidiwa piga kimyaHahaha ngombe ni ngombe tu,you should knw people
Nimekwambia international school zipo rudi page 879 na 880 don't change motion kaka......hahaaa....ebu itoe inawatia aibu bana
hakuna cha maana umeeka huko nyuma......Nimekwambia international school zipo rudi page 870 na 880 don't change motion kaka......
😀😀😀😀😀😀 saedeque amekua kipofu Leohakuna cha maana umeeka huko nyuma......
Ungekua ulikimya kitambo wa kwanza,Hatutaki matusi tafadhali kama huna hoja au umezidiwa piga kimya
mko down..unaendelea kujiaibisha sasa😀😀😀😀😀😀 saedeque amekua kipofu Leo
Shule za dar zimewakanyaga mpaka munaanza kuleta shule nje ya mji wa nairobi
Hatutaki matusi tafadhali wenzako tumeanza kuongea muda tu na hakuna alietukana....tafadhali sana hatutaki matusiUngekua ulikimya kitambo wa kwanza,