Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hiyo feza ndio inakaa a standard High school in Kenya. ..Hehehe. lakini hiyo braeburn yenu ni comedy...hehehe.
 
hiyo feza ndio inakaa a standard High school in Kenya. ..Hehehe. lakini hiyo braeburn yenu ni comedy...hehehe.
We jipe moyo na haya mabanda ya kuku....
Chogoria 047.JPG
 
hahaa...jamaa wa feza.
😀😀😀😀 bongo ya Leo sio ile kaka mambo yamechange sana kwa muda mfupi sana.... Hata gvt schools wamezijenga vzr wameziboresha sana na sasa hvi elimu bure from class 1 to form 6
 
ana feza feza tu hapa na kiji feza twao......ei Tanzania jameni. tieni bidii mtafika tu
 
😀😀😀😀 bongo ya Leo sio ile kaka mambo yamechange sana kwa muda mfupi sana.... Hata gvt schools wamezijenga vzr wameziboresha sana na sasa hvi elimu bure from class 1 to form 6
heheee....ni hao kina feza yenye inakaa apartments za east
lands
 
ana feza feza tu hapa na kiji feza twao......ei Tanzania jameni. tieni bidii mtafika tu
Bidii iliofanywa 10 yrs Tanzania ni sawa na bidii yenu ya 40 yrs my friend...kuna watu wakija hua waamini kama ni ile Tanzania.....😀😀😀😀
 
Hahaha. .....kwanza Tanzania mna resources mob sana nyinyi ndio hamko creative. Your country is rich in minerals and arable like 90%.....Kenya minerals hamna na 80% ni jangwani.
 
Hahaha. .....kwanza Tanzania mna resources mob sana nyinyi ndio hamko creative. Your country is rich in minerals and arable like 90%.....Kenya minerals hamna na 80% ni jangwani.
Ndio maana Kenya mnatuonea wivu...lakini haitabadili kitu Mzee
 
Hahaha. .....kwanza Tanzania mna resources mob sana nyinyi ndio hamko creative. Your country is rich in minerals and arable like 90%.....Kenya minerals hamna na 80% ni jangwani.
Na sasa ndio tumeanza kuzitumia....ndio maana unaona Kenya imeanza kuyumba huku na kule
 
International school ziko nyingi Kenya na akili nyingi pia ndio maana kila miaka 5 mnachinjana. Hio akili sana mmetupita wa Tz
 
Nakubali in kweli Jaluo in Jaluo tuu hata avae 3pc na perfume Kali govi lazima inuke
Ngombe itazidi kua ngombe am a kiuk,boss,those luos will give you a run for ur money,they are very educated,usicheze na graduate
 
Back
Top Bottom