COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Hii shule inakaa ma bed sitterMbezi high school
View attachment 515652
Hii shule inakaa ma bed sitterMbezi high school
View attachment 515652
Nitajitahidi kukuonesha shule zote....sio shule zenu munajenga na tofali za kuchoma utasema munajenga mabanda ya kuku.....Hiyo feza ndio inakaa a standard high school.It's quite something I must admit
That guy isn't exposed at alldude ungekuwa unaelewa royalty hungetoa comment lame ivo. that school looks like a palace or castle
utapagawa sana but huo ndio ukweli wa mambo....nlisomea huko na wabongo wengi sana.we bisha tuTatizo lako saedeque nilishawah kukwambia unchofkiri wewe sio uhalisia wa sasa hvi tanzania
😀😀😀
safi .....wakoloni wamewaachia magofuMoi alijenga mashule...excuse ya wakoloni as if hakucolloniziwa ni null & void
Ulisomea maana yake it was past.....am talking of dar es salaam ya sasa kaka...utaelewa tu usijaliutapagawa sana but huo ndio ukweli wa mambo....nlisomea huko na wabongo wengi sana.we bisha tu
dar es salaam imetokea wapi....juzi nlkua kenya high na still vidada vya kibongo vipo vingi sana.kule taita nlidhani ni kwa sababu ziko karibu na tz.haya huku kenya high Nairobi nako nashindwa kuelewa?Ulisomea maana yake it was past.....am talking of dar es salaam ya sasa kaka...utaelewa tu usijali
Ujue mm sikuelew hata unachoshindania ni nn maana mada ilikua shule tunawaekea shule munaanza mengine tena nn shida sasa???dar es salaam imetokea wapi....juzi nlkua kenya high na still vidada vya kibongo vipo vingi sana.kule taita nlidhani ni kwa sababu ziko karibu na tz.haya huku kenya high Nairobi nako nashindwa kuelewa?
unajua shida nni,,ama unataka nkuregeshe nyuma uijue...Ujue mm sikuelew hata unachoshindania ni nn maana mada ilikua shule tunawaekea shule munaanza mengine tena nn shida sasa???
😀😀😀😀😀😀
😀😀😀😀 mumetata shule mumeletewa bado munakua wakali......wachina wangapi wamejaa kwenye shule na vyuo vya tanzania wanasoma....unajua shida nni,,ama unataka nkuregeshe nyuma uijue...
Weka shule zilizo pigwa rangi ,hizo ambazo ata rangi wameshindwa kupiga zipotee zina leta shame kwa Taifa
kumbe ulikua unajua shida nni alafu unajitia hamnazo...basi eka picha za maana.hivi ni vitu gani sasa😀😀😀😀 mumetata shule mumeletewa bado munakua wakali......wachina wangapi wamejaa kwenye shule na vyuo vya tanzania wanasoma....
Hebu nioneshe hizo zenu zenye tofali za kuchoma maana Tanzania wanajengea mabanda ya kuku kwa tofali za kuchoma...nioneshe plzkumbe ulikua unajua shida nni alafu unajitia hamnazo...basi eka picha za maana.hivi ni vitu gani sasa
![]()
kumbe ulikua unajua shida nni alafu unajitia hamnazo...basi eka picha za maana.hivi ni vitu gani sasa
![]()
very poor man......Poor architecture.
Zikwapi shule za tofali za kuchoma😀😀😀very poor man......