ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huwezi paka rangi tofali ya kuchoma kwasababu tofali ya kuchoma hata ukipaka rangi inakaa tofali ya kuchoma haileti picha nzuri..hawawez jenga shule kwa cement blocks kwasabbu cement bei mbaya sana kenyaKweli nimeona shule wameziweka apa ni aibu kubwa shule ata Ku afford kupaka rangi wameshindwa naona rangi na cement Kenya zitakuwa bei mbaya sana