Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Grant from World Bank.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpuuzi wewe ...Unajua maana ya grant??
Screenshot_20200122-185921.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A typical school in Tanzania. Watoto wa sisiemu can't show this anywhere. Tulikomboa Africa 😂 😂
 
Kama unajua Nairobi then unajua difference ya downtown na uptown ukipita Tom Mboya street
Kule Tom Mboya hawezi fika. Anajua atakutana na wale omba omba wao yale maeneo ajiruhumie kuwa mtanzania 😂 😂 😂
 
Wakenya ni wavivu sana,ingekuwa bongo hapo wananchi wangetafuta nyundo na mbao baada ya nusu saa daraja tayari,wanafunzi hawaogelei tena wanapita juu ya daraja,lakini mungiki hadi aje mchina ndo awajengee. .. 😂😂😂😆😆

Shukran kwa mwl.nyerere kufuata ujamaa
Tatizo wana akili fupi mnoo 😂😂😂
Kaleta hiyo video bila kujua kule kwao mambo sio kabisa.
 
Back
Top Bottom