Kwahiyo Google Map inayoonesha slums kila kona ya Nairobi halafu haijaonesha slums Dar inamililikiwa na ccm? 😂😂😂Ccm ilishawadanganya hizo ni palaces.......sawa who am i to dispute sisiemu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo jengo apo mzee linapanda kama uyoga ...ilo apo karibu na kairuki hospital
Wewe nataka unioneshe slum sehemu yoyote dar na iwe clear pic from the ground nasubiria hapa😀😀😀😀😀Ccm ilishawadanganya hizo ni palaces.......sawa who am i to dispute sisiemu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya uchaguzi watakua washafungua 😀😀😀
Hehhe Hua wanafkiri mzungu ni mjinga sana😀😀Kwahiyo Google Map inayoonesha slums kila kona ya Nairobi halafu haijaonesha slums Dar inamililikiwa na ccm? 😂😂😂
hamna filters hapo, just HD camera. Yaani karibu kile macho yako yanaona. Wewe unaleta picha imepigwa na Oppo 😀😀Bila filter ni hiii😀😀😀😀
View attachment 1330620
Najua huamini kaka. Tafuta counter 😀😀 😀😀Ahahhaha yani hua munanichekesha sana😀😀😀
Hua muna ujinga sana dah 😀😀😀😀😀Najua huamini kaka. Tafuta counter 😀😀 😀😀
So hii je sio kweli hvi ww bro unaona unaeza kudanganya mm ??😀😀😀😀hamna filters hapo, just HD camera. Yaani karibu kile macho yako yanaona. Wewe unaleta picha imepigwa na Oppo 😀😀
Picha imepigwa jioni. Ona the golden color ya sunset. Si filter. Ulivyo ona hivyo ndio kwa ground iko. Usiltete picha za Oppo hapa 😀😀 . Next time ukipiga tour Kenya anza Kisumu, fika Eldoret, nakuru kisha Nairobi. Ukifika Nairobi nitafute nikununulie TuskerSo hii je sio kweli hvi ww bro unaona unaeza kudanganya mm ??😀😀😀😀
kwa macho tu naona maximum 8 lanes 😂 😂Kibaha highway 8 to 12 lanes going on😀😀😀
View attachment 1330802View attachment 1330803View attachment 1330804View attachment 1330805
Narudia kukuuliza he unaeza kudanganya mm kushusu kenya????😀😀😀😀Picha imepigwa jioni. Ona the golden color ya sunset. Si filter. Ulivyo ona hivyo ndio kwa ground iko. Usiltete picha za Oppo hapa 😀😀 . Next time ukipiga tour Kenya anza Kisumu, fika Eldoret, nakuru kisha Nairobi. Ukifika Nairobi nitafute nikununulie Tusker
Hehehe wazee wa GDP hali tete😀😀😀😀