Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Masikini wanakimbia vijijini kutafuta maisha Dar!, wanaishia kwa slums, hawana kazi, wanaenda kurandaranda na kuzubaa kwa beach! hiyo sio maendeleo ni ufukara! Dar itakua ovyo kuliko Lagos. Kiambu county with a smaller population ukilinganisha na Dar collects more revenue than Dar, ina maana population ya Dar haisaidii uchumi wa Dar, wengi ni idlers, in a weekday kukiwa na mechi kati ya Simba na yanga huwa mnajaza stadium, kama vile mlijaza uwanja during cecafa women, can't happen in Kenya in a weekday! haiwezekani, ata wakisema ni bure kuingia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila anaenda mjini hana cha kufanya iyo Ni wewe umesema,lakini nakubaliana na wewe kwamba pop kua kubwa sana sio kitu kizur esp ndani ya mji mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hujaelewa???..nikueleweshe maana mi ndo kazi yangu

Keep quoting me,because am your choir master..
Of course I don't understand what "dance my flows" is. Is that also mandarin? 😂 😂 😂
 
December nimeitumia sana kusafiri ndani ya Tz. Nilichokiona ni magari mengi sana yenye namba za Kenya yakisafiri up and down the country. Je inawezekana Tz ni destination fulani ya Wakenya kipindi cha sikukuu?
Nicxie na Teargass na huko Kenya magari yenye namba za Tanzania yapo mengi?
Yapo mengi sana ila nashuku wamekujia wale omaomba warudishwe makwao
 
I know you are executing projects "kwa pesa zenyu za ndani", ila wakati mukulu aliingia madarakani deni la taifa lilikua trilioni tsh.15, baada ya miaka minne sasa ni trilioni 55 (tshs), 40% of your GDP, which is $62B, kwa nchi yenye low revenue collection in relation to national budget na population ya over 55 million, hilo ni janga kwa taifa.., hili pia utapinga...

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupika data kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni
Ni part of ilala alone😀😀😀👇👇👇
FB_IMG_1578137158087.jpg

Kilimani district alone is wealthier than all of Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siki hzi wakenya wakiisikia dar wanatetema 😀😀😀 yani mambo yamebadilika sana
 
Satellites do not write names of places on images they capture. Their work is just to capture images. Anything written on an image captured by satellite is done so by people just like you and me. The International Space Station is located thousands of kilometers away from Dar and those who work there do not even know there exists a place called Mwananyamala in Dar or Umoja in Nairobi. The names of places found on Google earth are written by people like you and me, not google earth! Someone may decide to write that Donholm in Nairobi is a slum and everybody who views it will believe so. Google doesn't even have a satellite of its own!
Usinambie alieweka Google earth hakua mwerevu zaidi yako wewe😀😀😀😀

So Google earth inatumia nn ungo ya kenyatta au satellite we mbona unakua mpuuzi sana🤣🤣🤣
 
It seems you are out of your senses. Let me educate you a bit.
Top 5 Tallest buildings in East Africa
1. Britam tower 200m
2. CBE tower 198m
3. GTC office tower 184m
4. UAP tower 163m
5. Zemen tower 160m

No Tanzanian building in top 5. Three are from Kenya and two from Ethiopia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Britam nusu nyumba nusu mnara lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom