Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya msingi kama haya hua hawapendi 😀😀😀😀😀

 
Part of Selander bridge Project . 6 Km four lanes road by the Sea to Sea cliff Hotel .

IMG_5143.JPG



IMG_5144.JPG



IMG_5145.JPG




IMG_5142.JPG




IMG_5147.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Attachments

  • IMG_5141.JPG
    IMG_5141.JPG
    153.4 KB · Views: 8
Asilimia kubwa ya Wakenya wa Nairobi huenda kazini kwa Mguu, Just imagine hapa dar mtu atoke mbezi hadi posta kwa Mguu..
tuko dunia mbili tofauti.
hako kajiji kao ni trash tu.tukiwaambia wanajaa gesi.

utembee toka tabata mpaka posta kwa miguu,haipiti wiki unaacha kazi.cha ajabu wanakwambia wanabana matumizi huku wakijinadi kwamba wanalipwa vizuri sana,nitafutie mfanya usafi hapo posta anayebana matumizi ya nauli kwa kutembea kwa miguu ili a save chochote kitu kwenye mshahara.

wakenya hamuishi mnaigiza nyinyi,ila hamfahamu kama mnaigiza.
 
Back
Top Bottom