NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
kila kitu mpaka yeye mwenyewe![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Sent from my iPhone using JamiiForums
kila kitu mpaka yeye mwenyewe![]()

😱😱😱😱😱Hamchelewi kusema hapo ni Mathare..!!.navyojua mimi wakenya wapo allerged na vitu vyao
Nishapata dawa yenu 😂😂😂Picha za 80s Nairobi upperhill and section of WestlandView attachment 1312034
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu vingine vigeni kwako...!!!😁😁😁..learn "Mandarin" ancient na modern utajua nilikuwa nazungumzia nini😱😱😱😱😱
Hewa ya ukaa 😂😂😂Bwana bwana bwana mtambo unachanja mbuga😂😂🤣🤣🤣
yaani nimeumia sana ndugu kuona treni hizi za kisasa wakati zetu zinatuchosha kwa kelele na moshi....ina maana Kenya imekosa umeme wa kutosha? apana...hii itakua ni wizi mkubwa ulitendeka kule kati ya serikali na wachina...haiwezekani reli yetu ikawa ndio bei ghali ila nje ya stesheni, hamna jambo la maana...bridges ni za kawaida sana ila ona tu za wenzetu...duh! tuliibiwa...
tuko kwenye vita na hewa ya ukaa,ndugu zetu wakenya hawatuungi mkonoHewa ya ukaa![]()




Mkuu hiyo post ya huyo jamaa umeitoa kwenye thread ipiHewa ya ukaa 😂😂😂
There's no word as allerged in the English dictionary as you allegeKuna vitu vingine vigeni kwako...!!!😁😁😁..learn "Mandarin" ancient na modern utajua nilikuwa nazungumzia nini
Uchafuzi wa mazingira 😂😂😂tuko kwenye vita na hewa ya ukaa,ndugu zetu wakenya hawatuungi mkono![]()
Hii hapa.Mkuu hiyo post ya huyo jamaa umeitoa kwenye thread ipi
Narudia tena "learn Mandarin ancient and modern" utajua nilikuwa namaanisha niniThere's no word as allerged in the English dictionary as you allege
Kubali yaishe Mr. Broken EnglishNarudia tena "learn Mandarin ancient and modern" utajua nilikuwa namaanisha nini
Acha kukariri..
Kama huwezi nakupa ofa nikufunze Mandarin,ni lugha nzuri piaKubali yaishe Mr. Broken English
Inakamua wese tu😀😀😀😀Bwana bwana bwana mtambo unachanja mbuga😂😂🤣🤣🤣
Na yule nyani wa km 1,siku hizi hasikiki kabisaHuu moto siku hzi hawauzungumzii😀😀😀View attachment 1312159
Waonyeshe buddaUpanga
View attachment 1312054
View attachment 1312050
View attachment 1312053
View attachment 1312057
Sent from my iPhone using JamiiForums