Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwn cbd dar ni ya watu wa kipato cha chini

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar kama ulikuwa hujui hakuna mahali pa watu wa hali ya chini,wala wa hali ya juu,sisi sote kwa umoja wetu tunachanganyikana pamoja mwenye kipato cha juu,cha kati na cha chini kabisa ndo maana ukiingia streets utakuta hapa kuna nyumba mbaya jirani yake ana nyumba kaliii..CBD ya dar es salaam anaingia yeyote yule,na yeyote anaweza kufanya biashara na hasumbuliwi na yeyote,na ndo maana engineer Levi akawa anashangaa imekuwaje soko la samaki liko karibu na ikulu,na wanaouza hao samaki si wazungu wala wachina,ni watanzania kabisa yaani,hiyo ndo mifumo bora kabisa aliyotuachia mzee wetu mwl.JULIUS NYERERE...
 
Yaani kutofautisha Dar na Mogadishu is only through the three blue buildings. Buildings are very tired and rusty.

Sent using Jamii Forums mobile app
20 + skyline of East African new York.
IMG20191228120813.jpeg
IMG20191228115100.jpeg
IMG20191228115850.jpeg
IMG20191228114054.jpeg
IMG20191228114052.jpeg
IMG20191228113802.jpeg
IMG20191228112959.jpeg
IMG20191228113056.jpeg
IMG20191228113000.jpeg
IMG20191228112059.jpeg
IMG20191228110557.jpeg
IMG20191228112709.jpeg
IMG20191228110533.jpeg
IMG20191228110427.jpeg
IMG20191228102203.jpeg
IMG20191228110510.jpeg
IMG20191228110359.jpeg
IMG20191228112753.jpeg
IMG20191228101614.jpeg
IMG20191228101428.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar kama ulikuwa hujui hakuna mahali pa watu wa hali ya chini,wala wa hali ya juu,sisi sote kwa umoja wetu tunachanganyikana pamoja mwenye kipato cha juu,cha kati na cha chini kabisa ndo maana ukiingia streets utakuta hapa kuna nyumba mbaya jirani yake ana nyumba kaliii..CBD ya dar es salaam anaingia yeyote yule,na yeyote anaweza kufanya biashara na hasumbuliwi na yeyote,na ndo maana engineer Levi akawa anashangaa imekuwaje soko la samaki liko karibu na ikulu,na wanaouza hao samaki si wazungu wala wachina,ni watanzania kabisa yaani,hiyo ndo mifumo bora kabisa aliyotuachia mzee wetu mwl.JULIUS NYERERE...
Wana ubaguzi sana wao kwa wao, hadi kuna VIP ways
 
Back
Top Bottom