Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar kama ulikuwa hujui hakuna mahali pa watu wa hali ya chini,wala wa hali ya juu,sisi sote kwa umoja wetu tunachanganyikana pamoja mwenye kipato cha juu,cha kati na cha chini kabisa ndo maana ukiingia streets utakuta hapa kuna nyumba mbaya jirani yake ana nyumba kaliii..CBD ya dar es salaam anaingia yeyote yule,na yeyote anaweza kufanya biashara na hasumbuliwi na yeyote,na ndo maana engineer Levi akawa anashangaa imekuwaje soko la samaki liko karibu na ikulu,na wanaouza hao samaki si wazungu wala wachina,ni watanzania kabisa yaani,hiyo ndo mifumo bora kabisa aliyotuachia mzee wetu mwl.JULIUS NYERERE...
Kwhyo masaki dream houses(aka uswazi)
Zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar na Mombasa ni mandugu kabisaa! Uswahili, uislamu slamu kila mahali, (misikiti) na makazi hadi cbd, watu wameanika nguo kwa balconies around town. It has a villagish feeling ukiwa pale apart from a few places.
Kwani Umesahau Dar watu wanaishi hadi pale cbd? Yani pale posta kuna nyumba za kuishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar inaishindia Mombasa zile tower tatu na ukubwa wa eneo peke yake.
Kwa muonekano hakuna tofauti ya Dar na Mombasa., Nairobi doesn't have such a 'lazy Swahili" look., Dar imechoka kishenzi, apart from the new upcoming skyscrapers (3 towers included) brt na flyover, Dar ni villagish kimaisha, not urban at all! Dar bana .,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisaa, na pia Mombasa sio ndogo vile, ni pana pia (developed area, not just mere land size kama Dar)., kwa picha uwezi tambua., tembea kule ujionee, ila slow life ya waswahili haifurahishi., anyone with aerial view ya kizingo Mombasa atupe humu? Wameaumusha towers there those pics haziko kwa mtandao, I guess ju state house iko somewhere near there.., Dar ni jiji la kishamba, afadhali Arusha ilhali ni ndogo..,
Dar inaishindia Mombasa zile tower tatu na ukubwa wa eneo peke yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah the roads are paved and the streets are clean
The Pictures you select confirms that Dar roads are 100% paved and the city is Very clean. Thanks for sharing
tapatalk_1577788491621.jpeg
tapatalk_1577788510021.jpeg
tapatalk_1577788517091.jpeg
tapatalk_1577788523265.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa sijui hilo soko la samaki walitaka liwe bagamoyo hivi kweli majirani zetu wanaakili timamu wanashangaa soko la samaki kuwa karibu na ikulu
Largest fish market in the whole of EA! Ati Kibanda the whole of Kenya haina fish market kubwa na most modern (gas supplied) kama hili!
1835671e9db84ae7807899b40a182db3.jpg


6.jpg


Mzizima_Fish_Market_%2834158122313%29.jpg
Kweli kunyaland ni mambulula wa mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom