Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,173
- 29,784
Leta picha za pamoja siyo nyumba mojamoja tuone kama zinafanana na slum za kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Magomeni,kigogo wanaishi watu wa kipato Cha Kati, hebu nambie kule tandale,mabibo, manzese etc wanaishi wa kipato kipi? Dar yote ni uswazi hata kule unako sifia Zile nyumba za mbezi bado hadhi yake ya chini mno ,sinza hata usitaje hamna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
