Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,174
- 29,786
Uhuuuu!!! levo moja na Kenya ???? Nani anataka kuufanana na kenya sisi atuwezi kuuza nchi yetu wala kusujudia mzungu wala hatutaki kuishi kwa slumKama kuna kiongozi niliheshimu hapo Tanzania ni Kikwete......jamaa alikua mchapa kazi na hakua na bwebwe wala majivuno,nadhani kama bado angekua rais kiuchumi tungekua level moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
