Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,949
Huko ni ushago. Uko ndio umezoea kukaa, I thought you were in Milimani, Riat, Tom Mboya, Mamboleo ama Arina Estates. Ndio maana unapita kwa slumsSiko town kwa sasa niko huku maeneo ya daraja mbili kama unaelekea yala mbona muna waswas sana![]()


Sent using Jamii Forums mobile app




