Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa Kenya
tapatalk_1577218097373.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutozoea ujenzi ni mbaya kweli. All of Tanzania imekuwa na planned building moja hatupumui, sasa ingekuwa nyinyi ndio mko Kenya ama Ethiopia penye most buildings is in excavation stage si mngeruka hadi binguni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri mwakani hakuna cha Kenya wala Nigeria wala Ethiopia ndani ya miaka minne tu tumeshakuwa wapili au watatu Africa katika sekta ya afya na mwakani sekta ya reli na ndege lazima sauth afrika na Kenya na Ethiopia watajuta kutujua tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko ni ushago. Uko ndio umezoea kukaa, I thought you were in Milimani, Riat, Tom Mboya, Mamboleo ama Arina Estates. Ndio maana unapita kwa slums

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ushahidi kuwa wakenya awapendi kujulikana wapi wanaishi sasa ichoboy kuonyesha wapi wakenya wanaisbi imewaumiza sana wakenya ,mkenya kukukaribisha kwake ni mwiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom