Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Tangu nikufunze kuwa jf we don't talk,siku hizi unajitahidi kiasi japo neno "write" si sahihi saaanaPoint of correction. It's English not english. No wonder you write broken English!
Keep it up
Tangu nikufunze kuwa jf we don't talk,siku hizi unajitahidi kiasi japo neno "write" si sahihi saaanaPoint of correction. It's English not english. No wonder you write broken English!
Namaanisha hamna kitu nje zaidi ya hzo zenu tano..Baada ya kushindwa unasingizia hospitali bora.sa ulikuwa unataka hospitali zipi mbona ueleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu madem uswazi sipingi, mbna wengi wazuri tu..kinacho wasumbua shobo tuUswazi kuna totozi Kali kishenzi usije subutu kuja utaishia kufuata mademu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro, mimi sina mda wa kuenda mahali nipige picha katika makaazi yao duni halafu nije hapa nianze kujipiga kifua ya kwamba hko maisha ni magumu na wakati nimefanya tu kuchagua sehemu mbovu mbovu ndio nifurahishe waja...Juzi hapa kunamkenya wa jf yupo hapa kwenye huu Uzi alisema uwanja wa ndege wa tz ni zaidi ya jkia nikamkumbusha mapema asisahau kupiga picha slum hadi Leo kashindwa hivyo wakenya kubalini MNA maisha duni sana nyinyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mambo na kuchukia, bali hyo mwnzenu ndio ana sifa za kijinga..Bwaaaaaahhh Leo komora kachukia !!!!! Msimpige na zile kitu munaitaga flyiiiii asije kurudi bongo ananuka maviii naona Leo janerose kapotea baada ya ichoboy kuingia kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia akileta picha za nairobi nje ya slums ni tag..Nairobi hatachukua picha because atapitia Wayiaki way, Uhuru highway and Mombasa road and those are proper areas that can't be matched by any neighborhood in Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna hukuchukua picha basi kutoka hko utokako, km sio kuogopa ni niniSikua hoteli bwege wewe wacha hasira plz![]()
Bora nyie matajiri unaopewa misaada ya chakula 2019Maskini ni maskini tu.....mnafanya vitu zilifanywa 30 years ago...lolView attachment 1302747
Sent using Jamii Forums mobile app
I can't wait for the design to be disclosed.Building taking 30 Months to complete must be A good tower
View attachment 1302672
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siko town kwa sasa niko huku maeneo ya daraja mbili kama unaelekea yala mbona muna waswas sana😂😂😂😂Mbna hukuchukua picha basi kutoka hko utokako, km sio kuogopa ni nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona imekuuma hivyo? Wacha kuwa bwege let's reality sets u free!Bro, mimi sina mda wa kuenda mahali nipige picha katika makaazi yao duni halafu nije hapa nianze kujipiga kifua ya kwamba hko maisha ni magumu na wakati nimefanya tu kuchagua sehemu mbovu mbovu ndio nifurahishe waja...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najiuliza sana pia. Kuna wakenya wanaishi hadi kwenye maboksi sasa mvua ikinyesha sijui inakuwaje???? Sitaki kucheka kwasababu ni daily struggles za wakenya ambao sauti zao hazisikiki. So sad.Wakenya wanaishi vipi kwenye mabanda ya mabati?????.jua likiwaka inakuwaje???
Boss, leo umenyoosha watu. Taxi za baiskeli kwenye the third city 😂 😂 😂 + slums kama zote yaani😂😂😂 I wish mwezi wa pili nilivyokuwa nairobay na mimi nigefanya tourism ya slums. Nikirudi lazima nifanye wacha sasa tuenjoy hizi zako.Mbona imekuuma hivyo? Wacha kuwa bwege let's reality sets u free!
Kawaida ya mi ccm, wakiambiwa ukwel hutukanaMbona imekuuma hivyo? Wacha kuwa bwege let's reality sets u free!
Heheee!!kwhyo ulipopanda gari tu kuanza kuendesha ukajikuta kaloleniSiko town kwa sasa niko huku maeneo ya daraja mbili kama unaelekea yala mbona muna waswas sana![]()



Kuna sehemu niliona linajengwa Arusha na sio dar, litakuwa na ghorofa 16.Hio lazma itakua ni jengo la maana tena la gorofa zaidi ya 20 ✌✌✌
Kutozoea ujenzi ni mbaya kweli. All of Tanzania imekuwa na planned building moja hatupumui, sasa ingekuwa nyinyi ndio mko Kenya ama Ethiopia penye most buildings is in excavation stage si mngeruka hadi binguni?I can't wait for the design to be disclosed.