Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha nimletee aerial view ya Kaloleni slum. Now this is Kaloleni slum from above.View attachment 1302286

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu in the ground plz😂😂😂👇👇👇
67E52EBA-0669-4D95-AD35-30ED8DC57BC3.jpeg
3B5A2034-F64F-4203-8856-C6D7D1245E54.jpeg
BB57B034-373C-428A-9671-A92B497C7EDB.jpeg
BC251CC6-8917-4FB7-BBAB-02A29D2DE4F1.jpeg
C886471E-13EA-4C98-B714-A2CD366EB19C.jpeg
60B02553-FA93-4408-B027-649DB435584E.jpeg
84D9DF6B-474E-473D-99DE-4F3375613D4F.jpeg
71B7C662-CBFD-448A-9BCB-443DFB204BF1.jpeg
AEFA5D3F-F2FE-4DD9-A2A4-B59CB5DEE43F.jpeg
69B9B1BC-46BA-417F-B861-683A7040B80F.jpeg
7A8EF502-EEA9-42CF-B050-3E71B8097B41.jpeg
B757E687-9B45-47DA-899E-B43CB2A4DAE4.jpeg
769CC773-5C21-48C1-95DD-9E15EC3A24B3.jpeg
B9D90D40-1A1B-482B-8110-E6D1C4190E71.jpeg
D06DA391-1C5B-4914-8D22-34BDFBD8F24D.jpeg
B11BC284-5971-4F50-8741-B729AFFFEDB7.jpeg
36D8A5D0-ADDB-4D55-9778-51C886550084.jpeg
3ADADB52-117D-42B4-8E2B-1C7336BC8EF6.jpeg
96FF1711-8D2E-4228-9D8B-C6D3E0C2ED2A.jpeg
6DE8640E-F099-44F3-960D-BE8F8C486DE3.jpeg
 
Huyo akili timamu alishakiri kitambo sana kwamba yeye ni mtanzania. Back to point of discussion, I told one of you earlier on that you can't win in everything. Kwenye swala la makazi na mipango, Nairobi inashinda Dar tena mbali sana na wenzenu wamekariri hii so many times on this forum. Kukubaliana maneno mengine doesn't make you a stupid person, trying to force things makes you one
Mimi hilo ninalipinga kwa nguvu zote, Mkikuyu ni mkenya na alishatoa "Biography yake, alipozaliwa, aliposoma na Kazi alizofanya katika GoK, na sasa hivi anishi wapi na anafanya nini. Ilidhihirika wazi kwamba ni mkenya asilia, na anaipenda Kenya kuliko wakenya wengi hapa JF, tofauti yake ni kwamba, yeye yupo juu sana kwa akili na mtazamo kuliko ninyi mnaoburuzwa na ukabila na uvyama.

Kuhusu Makazi, huwezi kulinganisha kati ya jiji ambalo zaidi ya nusu ya wakazi wake wanaishi katika slums, na jiji ambalo karibu 85% ya wakazi wake wanaishi ktk NYUMBA bora. Hao wanaosema Nairobi ni bora kuliko Dar, wanazungumzia 30% ya wakazi wa Nairobi pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Look at the roads, it's very quality. Ebu now show such kind of road in any residential area in Tanzania. Remember Kaloleni is a slum.

Sent using Jamii Forums mobile app
Road is not an issue mikoa mingi tz roads zimetandazwa vzr sana lakini hiwez kuta nyumba kama hzo trust me yani nyumba ukiangalia kwa macho inabomoka anytime how do people survive duhh too much aisee
 
Nilikua bzy now nimetoka kidogo hakuna kitu bro baiskeli ziko CBD zinabeba watu yani uchafu mtupu serious am telling u
Hiyo umedanganya. Kama unaweza ati CBD ni uchafu then unajoke, if it's ukweli ati uko Kisumu hotel then this is the place, kando ya Tuffoam mall. Show me the uchafu you are talking about.
tapatalk_1577190515047.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila jaman niseme tu kenya maisha ni magumu sijapata kuona ukiskia hard life in real aisee iko kenya, yani mpaka kunaskitisha duhh alaf internet ni very expensive duhh

alaf kitu nyingine hua napenda kuuliza nimeona some of rubbish old flyover maeneo ya nakuru na njia panda ya eldoret na kericho sasa hzo old fashion flyovers za nn wakat hakuna hata congestion ya magari kabisa mm hua nafkiri gvt of kenya imeteketeza pesa nyingi za taxpayers kwenye mambo amabayo hayana ulazima kwa sasa thats y even debt sahii ni kubwa sana
 
Ila jaman niseme tu kenya maisha ni magumu sijapata kuona ukiskia hard life in real aisee iko kenya, yani mpaka kunaskitisha duhh alaf internet ni very expensive duhh

alaf kitu nyingine hua napenda kuuliza nimeona some of rubbish old flyover maeneo ya nakuru na njia panda ya eldoret na kericho sasa hzo old fashion flyovers za nn wakat hakuna hata congestion ya magari kabisa mm hua nafkiri gvt of kenya imeteketeza pesa nyingi za taxpayers kwenye mambo amabayo hayana ulazima kwa sasa thats y even debt sahii ni kubwa sana
hao ni machizi walikopa pesa wakidhani flyover ni fashion wamesahau kuwa zile huendana na mahitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hilo ninalipinga kwa nguvu zote, Mkikuyu ni mkenya na alishatoa "Biography yake, alipozaliwa, aliposoma na Kazi alizofanya katika GoK, na sasa hivi anishi wapi na anafanya nini. Ilidhihirika wazi kwamba ni mkenya asilia, na anaipenda Kenya kuliko wakenya wengi hapa JF, tofauti yake ni kwamba, yeye yupo juu sana kwa akili na mtazamo kuliko ninyi mnaoburuzwa na ukabila na uvyama.

Kuhusu Makazi, huwezi kulinganisha kati ya jiji ambalo zaidi ya nusu ya wakazi wake wanaishi katika slums, na jiji ambalo karibu 85% ya wakazi wake wanaishi ktk NYUMBA bora. Hao wanaosema Nairobi ni bora kuliko Dar, wanazungumzia 30% ya wakazi wa Nairobi pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa danganyikan. Hizo dream houses zenu ni bora according to your standards. Mbona tubishane nawe ila wenzako walishakariri?
 
Sisi tunapokea utalii yoyote budaa mbona unawaswas sana🤣🤣🤣
Kama wao Mabepari wanavyopokea chakula hata toka kwa Wakomunisti!

 
Back
Top Bottom