ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Poa nikitoka kisumu nakuja nairobi nitumie no yako kwa inbox
Poa nikitoka kisumu nakuja nairobi nitumie no yako kwa inbox
Una mdunga sindano ya ganzi Kwa kumwambia upo Kenya maana wakenya ukitaka wakimbie Uzi wajue tu wewe upo Kenya wote wana nywea Na janerose aka viking23 mkimbizi aliye rudi kwenye huu Uzi ,utamchafua akisikia upo Kenya lazima matusi yamtoke ,kuna siku sinta sahau alitukama matusi hatari baada ya jamaa kwenda Mombasa na kutuletea picha hapaHapo nilikua naendesha garitulia baadae niende stage
Lete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
live bila chenga, Noma sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
😂😂😂😂😂😂😂Una mdunga sindano ya ganzi Kwa kumwambia upo Kenya maana wakenya ukitaka wakimbie Uzi wajue tu wewe upo Kenya wote wana nywea Na janerose aka viking23 mkimbizi aliye rudi kwenye huu Uzi ,utamchafua akisikia upo Kenya lazima matusi yamtoke ,kuna siku sinta sahau alitukama matusi hatari baada ya jamaa kwenda Mombasa na kutuletea picha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure uku kwetu mipango miji wanatuangusha sn wamelala mnoSizungumzii ubora wa majengo yanayojengwa Nairobi au Kenya kijumla
Na wala sizungumzii kuhusu kubomolewa nyumba Morogoro Road kuanzia Kimara hadi Kibamba wala jengo la Tanesco, la hasha
Hapa nazungumzia hatuna sheria za maana za kukomesha ujenzi wa makazi holela kama haya yaliyopo Manzese, Tandale, Mwananyamala, Mbagala, Tandika, Keko n.k
Ni vile kila mtu akipata pesa ananunua kiwanja anajenga bila kufuata utaratibu wowote wa mipango miji, hili nchini kwetu ni tatizo
Hali ni tofauti na Kenya, penye ukweli lazima tuseme hizo slums wako nazo wana hali ngumu kweli kuliko hizi sehemu zetu za uswazi... Nyumba zilizopo uswazi kwetu ni bora kuliko zilizopo kwenye slums zao
Ila ukitoka nje ya hizo slums hukuti typical character za akina Manzese, Tandale, Tandika na Keko zaidi ya kukuta Estates na Gated Community za maana
Issue ya makazi kwao nyang'au ziko serious sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa nikitoka kisumu nakuja nairobi nitumie no yako kwa inbox
Na nyie mfanye tour km hii huku bongo km mnawezaTeargass njoo sasa
View attachment 1302153View attachment 1302154View attachment 1302155View attachment 1302156View attachment 1302157View attachment 1302158View attachment 1302159View attachment 1302160View attachment 1302161View attachment 1302162View attachment 1302163View attachment 1302164View attachment 1302165View attachment 1302168View attachment 1302169View attachment 1302170View attachment 1302171


pesa znyw za kulenga kwa manati Teargass Nicxie @Vicking23 Dxtr komora096Bila kusahau picha zimepigwa na iphone 11 proikisaidiana na samsung s10 plus ili kuhakikisha hakuna kitu hakionekani
View attachment 1302192View attachment 1302199


ichoboy01 bhn umetsha mkuu🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Uwezo mdogo wa kufikiri ndio tatizo kwa wakenya wengi ukiwemo,Ndio najua. Moja ni LDC while the other one is a world leader in many things and a developed country
Ebhn akikutumia namba nitag af huyu Teargass ndio master wa flyng toilets pale kibera slum hawez kuonana na ww uyo believe mePoa nikitoka kisumu nakuja nairobi nitumie no yako kwa inbox



tatizo hajawahi tembelea kenya....siyo mbayaHivi wewe unazungumza nini?, Magufuli amevunja NYUMBA na jengo refu la serikali pale Ubongo hadi wamarekani wamelalamika.
Acha kujiabisha kwa kuzungumza mambo kwa ushabiki. Kama kuna nchi hapa barani Afrika ambayo sheria za ujenzi hazifuatwi, Kenya inaongoza. Huna aibu eti unaipongeza Kenya Kenya kwamba wapo serious?, are you mad?.
Kenya majumba yanaporomoka kila wiki na kuuwa makumi kwa mamia ya wakenya, bado unasema wako "serious", hivi wewe kichwa chako ni timamu kweli?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kisumu haifai kuitwa city wallah mji uko hvyo huu sijapata kuona![]()




Kwa hivyo hizo nyumba za kisumu ni slums ila hizi hapa za Dar ni dream houses 😂 😂. Mko na shida sana nyinyiHii ni slum inayotisha inaitwa kaloleli kisumu bado kuna nyumba za matope yani ni hatari
View attachment 1302173View attachment 1302174View attachment 1302175View attachment 1302176View attachment 1302177View attachment 1302178View attachment 1302179View attachment 1302180View attachment 1302181View attachment 1302182View attachment 1302183View attachment 1302184View attachment 1302185View attachment 1302186View attachment 1302187View attachment 1302189
Ila ucsaau kuwa inabd muo8 mkuuIchoboy sasa fika CBD, fika Milimani, fika Airport, fika Mamboleo, fika Migosi alafu umalize na Lolwe then post the pictures here. You can't go to the slum alafu uanze kupiga domo hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app



Teargass njoo sasa
View attachment 1302153View attachment 1302154View attachment 1302155View attachment 1302156View attachment 1302157View attachment 1302158View attachment 1302159View attachment 1302160View attachment 1302161View attachment 1302162View attachment 1302163View attachment 1302164View attachment 1302165View attachment 1302168View attachment 1302169View attachment 1302170View attachment 1302171


naona umewakamata kwenye kona