komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kuna siku nilimuuliza ataje jina la ward aliyotokea akakimbia mpka leoMimi hilo ninalipinga kwa nguvu zote, Mkikuyu ni mkenya na alishatoa "Biography yake, alipozaliwa, aliposoma na Kazi alizofanya katika GoK, na sasa hivi anishi wapi na anafanya nini. Ilidhihirika wazi kwamba ni mkenya asilia, na anaipenda Kenya kuliko wakenya wengi hapa JF, tofauti yake ni kwamba, yeye yupo juu sana kwa akili na mtazamo kuliko ninyi mnaoburuzwa na ukabila na uvyama.
Kuhusu Makazi, huwezi kulinganisha kati ya jiji ambalo zaidi ya nusu ya wakazi wake wanaishi katika slums, na jiji ambalo karibu 85% ya wakazi wake wanaishi ktk NYUMBA bora. Hao wanaosema Nairobi ni bora kuliko Dar, wanazungumzia 30% ya wakazi wa Nairobi pekee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app




