Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo ni kwamba hamtaki kuambiwa ukweli, hata na Watanzania wenzenu. Mwishowe mnawatusi na kusema sio wazalendo. Don't be a slave to patriotism. Don't be blinded by it
Ukweli upi?, hivi katika sheria za ujenzi Kenya mnaweza kuzungumza lolote?. Sisi tunamjibu Yale abayozungumza bila kutumia akili, sisi hatumkataia kwamba sio mtanzania, tofauti na ninyi mnaosema" Mkikuyu - Akili timamu sio mkenya, kwasababu tu anawaambia ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli upi?, hivi katika sheria za ujenzi Kenya mnaweza kuzungumza lolote?. Sisi tunamjibu Yale abayozungumza bila kutumia akili, sisi hatumkataia kwamba sio mtanzania, tofauti na ninyi mnaosema" Mkikuyu - Akili timamu sio mkenya, kwasababu tu anawaambia ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo akili timamu alishakiri kitambo sana kwamba yeye ni mtanzania. Back to point of discussion, I told one of you earlier on that you can't win in everything. Kwenye swala la makazi na mipango, Nairobi inashinda Dar tena mbali sana na wenzenu wamekariri hii so many times on this forum. Kukubaliana maneno mengine doesn't make you a stupid person, trying to force things makes you one
 
Kenya tuliacha mambo za miti kitambo sana. This is KISUMU
Lete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1302235View attachment 1302236View attachment 1302237
tapatalk_1577182545032.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom