komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Inamaanisha hujui chocho kuwahusu, au ume comment tu ili na wewe uonekane umechangiaKawaulize hao Wb watakuambia vizuri tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaanisha hujui chocho kuwahusu, au ume comment tu ili na wewe uonekane umechangiaKawaulize hao Wb watakuambia vizuri tu.
Sitaki ubishi msimu huu wa sikukuuInamaanisha hujui chocho kuwahusu, au ume comment tu ili na wewe uonekane umechangia
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh 😂😂😂 na wewe unajua fact.
Ukweli upi?, hivi katika sheria za ujenzi Kenya mnaweza kuzungumza lolote?. Sisi tunamjibu Yale abayozungumza bila kutumia akili, sisi hatumkataia kwamba sio mtanzania, tofauti na ninyi mnaosema" Mkikuyu - Akili timamu sio mkenya, kwasababu tu anawaambia ukweli.Tatizo ni kwamba hamtaki kuambiwa ukweli, hata na Watanzania wenzenu. Mwishowe mnawatusi na kusema sio wazalendo. Don't be a slave to patriotism. Don't be blinded by it
Those are minor excuses, ingekuwa baiskeli ni mingi kuliko gari ungeshapiga picha na upost humu, na ujue Kisumu najua very well. Eka picha na maeneo enye umepiga hiyo picha.Nipo jana nilikua bzy na harusi ila leo lazma uzipate budaa tulia utalia na roho yako![]()

Yani kisumu haifai kuitwa city wallah mji uko hvyo huu sijapata kuona![]()
Lete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.Wivu tu...watu walitoka kitambo hko
Nguzo za miti karne hii aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahha bado nitapita pale stage ndio zimejaa 🤣🤣Those are minor excuses, ingekuwa baiskeli ni mingi kuliko gari ungeshapiga picha na upost humu, na ujue Kisumu najua very well. Eka picha na maeneo enye umepiga hiyo picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushapanic tayar budaa🤣🤣🤣🤣🤣Those are minor excuses, ingekuwa baiskeli ni mingi kuliko gari ungeshapiga picha na upost humu, na ujue Kisumu najua very well. Eka picha na maeneo enye umepiga hiyo picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa picha zako nimeona tu baiskeli mbili in fact tena kwa slum. This is opposite with what you said earlier that baiskeli ni mingi kuliko gari.
Usipanic anyone ambae yuko kisumu tunaeza onana🤗🤗🤗🤗
Hapo nilikua naendesha gari🤣🤣🤣 tulia baadae niende stageKwa picha zako nimeona tu baiskeli mbili in fact tena kwa slum. This is opposite with what you said earlier that baiskeli ni mingi kuliko gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipanic anyone ambae yuko kisumu tunaeza onana![]()
Huyo akili timamu alishakiri kitambo sana kwamba yeye ni mtanzania. Back to point of discussion, I told one of you earlier on that you can't win in everything. Kwenye swala la makazi na mipango, Nairobi inashinda Dar tena mbali sana na wenzenu wamekariri hii so many times on this forum. Kukubaliana maneno mengine doesn't make you a stupid person, trying to force things makes you oneUkweli upi?, hivi katika sheria za ujenzi Kenya mnaweza kuzungumza lolote?. Sisi tunamjibu Yale abayozungumza bila kutumia akili, sisi hatumkataia kwamba sio mtanzania, tofauti na ninyi mnaosema" Mkikuyu - Akili timamu sio mkenya, kwasababu tu anawaambia ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1302235View attachment 1302236View attachment 1302237Lete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
KISUMU Bado. Sio mitiLete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio najua. Moja ni LDC while the other one is a world leader in many things and a developed countryUnafahamu historia ya china na Tanzania?
Lete picha za Miji kama Naivasha, Kisumu, Mombasa, hata hapo Nairobi mjini tuone nguzo zenu. Hata chakula hamna, mtaweza kuweka nguzo za zege nchi nzima?, Kenya is really a failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app