Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I'm in love with this pic View attachment 1299032
images (12).jpeg
images (7).jpeg
images (8).jpeg
images (9).jpeg
images (11).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwonekano wa Ujenzi wa Uwanja mpya wa kimataifa wa ndege wa Msalato Mjini Dodoma Pindi Ujezi wake utakapokamilika.

Benki ya Maendeleo ya Africa -AfDB imeidhinisha mkopo wa masharti nafuu wa Dola za kimarekani Millioni 272.12 Sawa na Billioni 625.47 za Ujenzi wa kiwanja hiki Haki Ngowi on Twitter
 
Aerial view of kisii university View attachment 1299288

Sent using Jamii Forums mobile app
Janerose mapicha picha
Jimama la nyalendwa slum
Jike shupa la Mombasa ngumi jiwe naona unajaribu kutetea Mombasa ,Wa tz tulisha wakubalia Dar vs Nairobi + metropol + Mombasa + chinya
Maana dar ni kubwa kinoma ndiyo maana nashindwa kujua kkoo ni wapi na upanga E na upanga W
1) UPANGA EAST
2) UPANGA WEST
1) KINONDONI A
2) KINONDONI B
1) MIKOCHENI A
2) MIKOCHENI B
mambo ni mengi muda ni mchaxhe "wajinga nyinyi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do you even understand yourself?....smh
Janerose mapicha picha
Jimama la nyalendwa slum
Jike shupa la Mombasa ngumi jiwe naona unajaribu kutetea Mombasa ,Wa tz tulisha wakubalia Dar vs Nairobi + metropol + Mombasa + chinya
Maana dar ni kubwa kinoma ndiyo maana nashindwa kujua kkoo ni wapi na upanga E na upanga W
1) UPANGA EAST
2) UPANGA WEST
1) KINONDONI A
2) KINONDONI B
1) MIKOCHENI A
2) MIKOCHENI B
mambo ni mengi muda ni mchaxhe "wajinga nyinyi"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1298629


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii barabara watu wanaweza ichukulia poa lakini ni ingenuity ya hali ya juu ya Magu, kuwa na matumizi bora ya fedha za umma. Badala ya fedha kutumika kwenye sherehe ya siku moja, watu wanateleza kwenye barabara kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. Just a little twist but it made a huge impact.

Binafsi ninakamchakato kakuchota akili za Magu kwa mambo yangu binafsi, ukimsoma vizuri huyu jamaa, kila kitu utaona ni fursa.
 
Back
Top Bottom