Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pesa za kwenye bajeti ya nchi ambazo zilitakiwa ziende mashuleni nynyi mnazinunulia ndege tena hta bila ya kujulikana nani alipitisha huo mswada bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi pesa zote za kujenga "dams" zimeingia mifukoni mwa wakora, chakula mnategemea kupewa msaada na China na nchi za UAE. Failed state ninyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why can't you just admit that kariakoo is a market of highrise buildings.....infact thats the only place i enjoyed in dar.....i like street adventures....though i was told it has a very high rate of crime

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukweli ni kuwa kariakoo pekee ina maghorofa mengi kuliko headquarters za slums Africa Nairobi,
Kariakoo ni tegemeo asilimia kubwa ya nchi zinazotuzunguka,
Wafanyabiashara wengi kutoka nchi zinazotuzunguka huja kununua bidhaa zao kariakoo,
Tembea ujionee sio kujifungia kwenye slums huko.
 
Ukweli ni kuwa kariakoo pekee ina maghorofa mengi kuliko headquarters za slums Africa Nairobi,
Kariakoo ni tegemeo asilimia kubwa ya nchi zinazotuzunguka,
Wafanyabiashara wengi kutoka nchi zinazotuzunguka huja kununua bidhaa zao kariakoo,
Tembea ujionee sio kujifungia kwenye slums huko.
Jamaa kariakoo inamsumbua kichwa 😀😀😀😀
 
The good thing is that's your personal opinion and we respect it.Here we deal with facts and statistics
Ukweli ni kuwa kariakoo pekee ina maghorofa mengi kuliko headquarters za slums Africa Nairobi,
Kariakoo ni tegemeo asilimia kubwa ya nchi zinazotuzunguka,
Wafanyabiashara wengi kutoka nchi zinazotuzunguka huja kununua bidhaa zao kariakoo,
Tembea ujionee sio kujifungia kwenye slums huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom